Mnaotumia TECNO smartphone, ni aina ipi unatumia unajisikia raha ya simu?

Mnaotumia TECNO smartphone, ni aina ipi unatumia unajisikia raha ya simu?

Je vipi kuhusu NOKIA C - 10 , mwenye uzoefu nayo anieleze jamani naomba
 
Mm nlikua nampangp wa kutafuta hiyo tecno [emoji41]
 
Haaaaa kumbe basi kuna mtu anataka kuniuzia anasema eti NOKIA ndio zinaongoza kwa ubora na kukaa nacharge duniani
Sio kweli [emoji28][emoji28]
Hiyo simu bei inayofaa ni elfu 80 tu. Ni ovyo sana
Alitaka kukuuzia kwa bei gani
 
Back
Top Bottom