Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Hakuna urafiki wa mwanadamu na shetani...utaliwa kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka namba za simu
Pesa njenjeJamani khaaaaa
Waliosoma nao wanapata tabu kuliko hata sisi wa darasa la 7Doh. ndomaana yule mgombea alisema;
1. Elimu
2. Elimu
3. Elimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye kunihakikishia kafara inatajirisha anijuze, vitega uchumi vyote ninavyo, dingi yupo, matha yupo, mke na watoto hata kumi wapo.... Yaani nimesheheni
Mkuu na jaribu Ku pm Ila inagomaNiliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.
Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.
Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.
Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.
Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .
Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.
Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .
Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.
Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
Mbona hao wapogoro au wangindu wa Liwale hawana huo utajiri.Niliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.
Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.
Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.
Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.
Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .
Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.
Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .
Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.
Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
Haahaaa JfMwenye kunihakikishia kafara inatajirisha anijuze, vitega uchumi vyote ninavyo, dingi yupo, matha yupo, mke na watoto hata kumi wapo.... Yaani nimesheheni
chonde chonde ngende kimbunga nabwiti marimbula kazi kweli kweliNiliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.
Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.
Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.
Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.
Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .
Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.
Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .
Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.
Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahMwenye kunihakikishia kafara inatajirisha anijuze, vitega uchumi vyote ninavyo, dingi yupo, matha yupo, mke na watoto hata kumi wapo.... Yaani nimesheheni
A see mayai ya bundi nakumbuka Mara ya mwisho kuyaona ilikua nyarugusu sehemu inaitwa Buziba machimbon mpaka alitotoa mafaranga yake niliyashika na kuyaachia kumbe ni dili hivi?Kama unataka utajiri fanya kutafuta mayai ya Bundi mawili tu. Ukiyapata rusha wembe ule wembe ukivutwa Kama sumaku nifate nikupe pesa
NB: yai moja linauzwa Kenyan Shillings 20 millions. Kazi kwako
Yatafute ni bonge deal kuzidi ata dhahabu but fuata hayo maelekezo yangu. Mi niliambiwa nikiwa form 4 afu Mungu siyo Athuman nikayapata mnamo mwaka 2010 aisee saiv nipo na Maisha walau uwezo wa kubadili mboga na nguo ninao. Kipindi hicho niliuza kwa KS 15m kila mojaA see mayai ya bundi nakumbuka Mara ya mwisho kuyaona ilikua nyarugusu sehemu inaitwa Buziba machimbon mpaka alitotoa mafaranga yake niliyashika na kuyaachia kumbe ni dili hivi?
Unashika Kama kawaida.Na ukiyapata inayakiwa uyaguse ama