Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kawaida sana mkuu, bora utajiri na hayo masharti kuliko manyanyaso ..na ziada tangu umewavua chupi wanawake je ukwasi wako umeongezeka kwa kiwango gani kuna nini cha ziada pale katikati ya miguu ya mwanamkeNiwaambie kitu wanangu,mashariti ya ngende ni magumu sana. Unaweza ukaambiwa usiwe unavaa pamba kali,usipende kuhonga au kupenda madem pia unaweza pewa shariti la kuuliwa nguvu za kiume. #ngendePagumu!
Anajiona Leon anatangaza parade mbele ya Casio na Msuya.Basi apo unajiona uko British council mwenyewe🤣🤣🤣
Weka hapa pic mkuu😀! Nijue kbs
Mm ugonjwa wangu ni haya madude ya mmarekani kutoka general motors GMC yukon na yukon Denali yaani hata ubimbirike kwenye mtaro unatoka unapangusa tu vumbi, ukiwa nalo mwenye paso, vitz ist unaweza waruhusu watest airbag zao, ni gari ya kibabe mno kama mmarekani mwenyewe alivyombabeWaaah!hata kuwahi kuliendesha ni dalili za uchumi wa Kati😋🤸😛
Mm ugonjwa wangu ni haya madude ya mmarekani kutoka general motors GMC yukon na yukon Denali yaani hata ubimbirike kwenye mtaro unatoka unapangusa tu vumbi, ukiwa nalo mwenye paso, vitz ist unaweza waruhusu watest airbag zao, ni gari a kibabe mno kama mmarekani mwenyewe alivyombabe
[/QUOT]
Hahahha magari ya kiume balaa...kindaki ndaki...!
Duuuuuh gari za kibabe baraaah hatareeeeh sanaahMm ugonjwa wangu ni haya madude ya mmarekani kutoka general motors GMC yukon na yukon Denali yaani hata ubimbirike kwenye mtaro unatoka unapangusa tu vumbi, ukiwa nalo mwenye paso, vitz ist unaweza waruhusu watest airbag zao, ni gari a kibabe mno kama mmarekani mwenyewe alivyombabe
Mbabe mwingine kutoka marekani ni huyu cardilac escalade kuna moja niliwahi iona arusha alikua anaendesha yule wakili wa arusha aliyekutwa na bilion kadhaa kwenye acc ikisemekana alikua na mahusiano na kundi fulani hv la kigaidi, polisi walikuta ameweka 20ml kwenye siti walipomhoji kwa nn anatembea na pesa mingi kwenye gari yy akawajibu kuwa hizo pesa ni kwa ajili ya kununua vocha tu.Duuuuuh gari za kibabe baraaah hatareeeeh sanaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Anajiona Leon erasmi...🤣🤣🤣Anajiona Leon anatangaza parade mbele ya Casio na Msuya.
Kumbe ni chalii ya masandareAnajiona Leon anatangaza parade mbele ya Casio na Msuya.
Sio Masandare tuu chalii ya Aggrey Tatu,tukatafute utajiri mlima wa kwa koko.Kumbe ni chalii ya masandare
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpigamiti tena
Duuuuuh tobaaaaaah mil 20 kwa ajiri ya vocha? Kuna watu wana pesa wallah hivi.Mbabe mwingine kutoka marekani ni huyu cardilac escalade kuna moja niliwahi iona arusha alikua anaendesha yule wakili wa arusha aliyekutwa na bilion kadhaa kwenye acc ikisemekana alikua na mahusiano na kundi fulani hv la kigaidi, polisi walikuta ameweka 20ml kwenye siti walipomhoji kwa nn anatembea na pesa mingi kwenye gari yy akawajibu kuwa hizo pesa ni kwa ajili ya kununua vocha tu.
ndio wapi hukoSio Masandare tuu chalii ya Aggrey Tatu,tukatafute utajiri mlima wa kwa koko.
We muhuni wa wapi wewe...Naona umetaja mpaka gheto exactlySio Masandare tuu chalii ya Aggrey Tatu,tukatafute utajiri mlima wa kwa koko.