Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Sio bangi mkuu, tatizo ela na shida kibao, si bora afe mmoja familia iishi vizuri?[emoji38][emoji38][emoji38]acha bangi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bangi mkuu, tatizo ela na shida kibao, si bora afe mmoja familia iishi vizuri?[emoji38][emoji38][emoji38]acha bangi mkuu
Wapo ila si wanoko kama wale wa KigamboniHuko NGEDE hakuna wajumbe mkuu?
Tata mula hano ala kupm wange ghuntigha nyuma mbane nauni umpmMkuu Sandali Ali ni PM tafadhali. Nahitaji taarifa muhimu toka kwako.
Mkuu na subiria pm yako na mambo ya kuongea nawe mkuuNiliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.
Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.
Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.
Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.
Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .
Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.
Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .
Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.
Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
Ambe mura, antebhili kale, ntigha nkupmTata mula hano ala kupm wange ghuntigha nyuma mbane nauni umpm
MbuyaTata mula hano ala kupm wange ghuntigha nyuma mbane nauni umpm
Mbuya mulaMbuya
Hayajakukuta wewe....what the hell is this??...kwahiyo unataka kuniambia kwamba billgate jeff bezos hadi elon musk nao walipitia huko kwa ngende sijui.....au bakhressa mo dewj wote walipitia huko kwa waganga???.....kichwa kilipaswa kiwe: kwa wapenda shortcut wote wajinga na wavivu ambao wanachukia umasikini ngende ndo kimbilio..... wake up Africans that's not how things works...
Liwale/Morogoro sehemu gani mkuu,weka code sawa tuibukeNiliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.
Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.
Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.
Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.
Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .
Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.
Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .
Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.
Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
Hahahaha mkuu ungekuwa mimi ungeshajinyonga kitambo....Hayajakukuta wewe
Fafanuadaaaah ngende ni noma, nlishasikia stori zake kitambo sana hasahasa liwale hii kitu ni shida sio ya kuichukulia poa
Hebu niambie hiyo ngende ulipokua unaishi ni wapi,nipe code mzee niibuke chaaapBinafsi nimeishi maeneo karibu na ngende
Ni kweli ngende Kuna huo utajili Ila mashart yake ndio magumu hasa ukishaanza kufanikiwa yan unapewa sharti ambalo ukiwa tajiri huwez kulimudu
Kuna mzee alienda ngende kuomba utajili kwa mganga, jamaa akapewa dawa vizuri na kweli alifanikiwa Sana Hadi mtaani watu tukawa tunamshangaa kwa mafanikio aliyokuwa nayo
Ila Sasa kumbe kule alikopewa ile dawa yule mganga alimwambia awe anampelekea sindano ya kushonea nguo zake kila mwaka. Sasa vuta picha wewe ni tajiri haswaaaa unaenda kununua sindano ya sh 10( kwa wakati huo) na unapanga Safari unawasha gari na kupeleka sindano tu kwa mganga? ....
To cut the story, jamaa aliweza kwa miaka mitatu tu Ila baadae alianza kupuuzia hawezi kupoteza hela nyingi kusafil kisa sindano ya sh 10, akawa ameacha kwenda na akawa anatuma salamu tu kwa yule mganga na kuwaagiza watu wampelekee hela Ila Hilo ndo lilikua anguko lake kwasababu alishindwa kupeleka sindano tu.
Ndugu zangu mashart ya ngende huwezi kutoboa hata Kama unayaona ni mepesi kwa siku za mwanzon Ila huko mbeleni huwezi kutoboa narudia Tena kwa msisitizo HUWEZI KUTOBOAAAAAA
Wewe nenda Liwale (Lindi) ukifika Liwale waambie bodaboda wakupeke Mpigamiti ngende au upande gari za huko .Hebu niambie hiyo ngende ulipokua unaishi ni wapi,nipe code mzee niibuke chaaap
There is no single formula for success in life. And those guys you mentioned are not only Riches we have in country/word, most likely you don't know all Riches and how they became well economically.....what the hell is this??...kwahiyo unataka kuniambia kwamba billgate jeff bezos hadi elon musk nao walipitia huko kwa ngende sijui.....au bakhressa mo dewj wote walipitia huko kwa waganga???.....kichwa kilipaswa kiwe: kwa wapenda shortcut wote wajinga na wavivu ambao wanachukia umasikini ngende ndo kimbilio..... wake up Africans that's not how things works...
Aisee....PM Mkuu....!!Wewe nenda Liwale (Lindi) ukifika Liwale waambie bodaboda wakupeke Mpigamiti ngende au upande gari za huko .
Mpigamiti tenaWewe nenda Liwale (Lindi) ukifika Liwale waambie bodaboda wakupeke Mpigamiti ngende au upande gari za huko .
Nimekupm mkuu inagomaWewe nenda Liwale (Lindi) ukifika Liwale waambie bodaboda wakupeke Mpigamiti ngende au upande gari za huko .