city center
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 212
- 272
hahaha!! tohikile bhatato weto!!Tata mula hano ala kupm wange ghuntigha nyuma mbane nauni umpm
Tughende ghasi tokubhi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha!! tohikile bhatato weto!!Tata mula hano ala kupm wange ghuntigha nyuma mbane nauni umpm
mbhanne tuli mura weito mutaghatighaa mbhamolehahaha!! tohikile bhatato weto!!
Tughende ghasi tokubhi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpigamiti tena
pamojaSafarini Lindi/Mtwara
naona ngende iliwahi kugusiwa toka zamani.
Hii ishu ni ya kufanyia utafiti.
Huo uzi umeelezea kila kitu kuanzia usafiri, malazi n.k
kila la kheri whyme na wengineo
Jilipue mkuupamoja
Haahaa sawa weitohahaha!! tohikile bhatato weto!!
Tughende ghasi tokubhi?
Wewe endelea kusaka pesa kwa ndumba utaishia kua chizi tuNiliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.
Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.
Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.
Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.
Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .
Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.
Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .
Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.
Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
Ngende haifi . Akifa mkuu wa kituo mizimu humchagua mrithi, huyo mrithi moto wake ni uleuleMleta mada, ikitokea mganga akafariki, utakuwa unapeleka kwa nani?
[emoji3][emoji3][emoji3]....what the hell is this??...kwahiyo unataka kuniambia kwamba billgate jeff bezos hadi elon musk nao walipitia huko kwa ngende sijui.....au bakhressa mo dewj wote walipitia huko kwa waganga???.....kichwa kilipaswa kiwe: kwa wapenda shortcut wote wajinga na wavivu ambao wanachukia umasikini ngende ndo kimbilio..... wake up Africans that's not how things works...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umetisha sana.Mwenye kunihakikishia kafara inatajirisha anijuze, vitega uchumi vyote ninavyo, dingi yupo, matha yupo, mke na watoto hata kumi wapo.... Yaani nimesheheni
bomba sana. kwanza ni utalii. range rover yangu au v8 naenda na kurudi bila shida.Ngende
kila mwaka unapeleka zawadi ya chungwa moja kwa mtaalamu.
Unatoka kigoma na Cruiser mpaka liwale
sharti safi sana
Acha uoga nenda kwa Mpigamiti ukachukue utajiriMpigamiti tena