Mnaouchukia ufukara na umaskini NGENDE ndilo jawabu lenu la mwisho

Mnaouchukia ufukara na umaskini NGENDE ndilo jawabu lenu la mwisho

Status
Not open for further replies.
Wewe kaloge tu hta ikiwezekana kaoge njia panda mkuu Sisi ni kazi na sala tu.
 
Kama unataka utajiri fanya kutafuta mayai ya Bundi mawili tu. Ukiyapata rusha wembe ule wembe ukivutwa Kama sumaku nifate nikupe pesa


NB: yai moja linauzwa Kenyan Shillings 20 millions. Kazi kwako
Isipovutwa
 
Ngende si nzuri jamani..ukikosea sharti kidogo unarudi kwenye zerooo tena zerooo si ya kitoto.

Omba Mungu na upambane huo ndiyo ujanja.
Toa connection masikio yetu hayapo kwaajili ya kupokea maonyo. Nije pm?
 
Niliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.

Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.

Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.

Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.

Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .

Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.

Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .

Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.

Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
Matangazo ya biashara hua yanalipiwa,pamoja na kwamba biashara yako hii ni ya kipuuzi lakini umelipa?
 
I thought you were a guy, anyway you have everyright to write/say anything.
ana stress achana naye, anatafuta mahali pa kuzi dump!
halafu ni mtoto mdogo sana huyo, mtu hajui hata kuweka memory card kwenye laptop. u
 
Kuna siri nyingi duniani, unaweza kuta wewe unaamini bill gate ni freemason, lakini kwa ngende unaleta unafiki
UNAFIKI kwa ngozi nyeusi umetukuka sana.
Unaweza kumkuta anarudi kwao December kwenda kufanya mila(kutambika) na kanisani kwake ni kiongozi wa vijana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom