Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IsipovutwaKama unataka utajiri fanya kutafuta mayai ya Bundi mawili tu. Ukiyapata rusha wembe ule wembe ukivutwa Kama sumaku nifate nikupe pesa
NB: yai moja linauzwa Kenyan Shillings 20 millions. Kazi kwako
Nikimtumia kwa mpesa hapokeiCha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka
HayafaiIsipovutwa
Toa connection masikio yetu hayapo kwaajili ya kupokea maonyo. Nije pm?Ngende si nzuri jamani..ukikosea sharti kidogo unarudi kwenye zerooo tena zerooo si ya kitoto.
Omba Mungu na upambane huo ndiyo ujanja.
Matangazo ya biashara hua yanalipiwa,pamoja na kwamba biashara yako hii ni ya kipuuzi lakini umelipa?Niliwahi kuandika uzi mwezi May nikisema nitafanya lolote ilimradi niondokane na umaskini.
Umaskini mbaya wazee.
Sijaondokana bado na umaskini but kidogo naona unafuu sasa, kwa Kibongobongo 33 yrs ukiwa na mahali pa kuweka mgongo mvua isikunyeshee na kausafiri hata kama umenunua kwa mbongo mwenzako si mbaya sana.
Nimepata shuhuda nyingi za Ngende, nami nimewahi kwenda nikiwa form two mara tu nilipomaliza mtihani wa form 2. Nilikwenda na rafiki/ndugu wa karibu tukisaka dawa ya kupata madini.
Tulikwenda centre ndogo ya ngende ila wembe wao ndo uleule.
Tulipewa dawa kwa buku 2 tu ingawa kule chimbo tukafanya utoto .
Sasa hivi nataka niende tena kuomba ukwasi,yaani niwe na pesa kama zote. Ngende ndio home land so, ninavyoisifia namaanisha. Sema tu watu wa kule hawana time na ngende na wakienda wanakwenda kwa issue zingine tu kama kilimo (avune sana mahidi ya chakula au korosho). Au ampate mwanamke fulani au mambo ya kuomba udiwani au ubunge.
Yaani ngende utajiri ndani ya miezi 3 tu bila kumwaga damu, pesa unatoa kiasi upendacho .
Cha msingi kuzingatia masharti ya kupeleka kiasi fulani kila mwaka. Unaweza kuambiwa kila mwaka peleka buku , wewe unaanza kudharau unasema tafidia, tafidia mwisho wa siku unageuka kuwa fukara na si maskini.
Ngende noma. Iko Liwale na Morogoro huko ndanindani.
I thought you were a guy, anyway you have everyright to write/say anything.....I don't give a damn prostitute...
I don't care...I thought you were a guy, anyway you have everyright to write/say anything.
jibu zuri sana. kuna watu hua wana maswali ya ajabu ajabu tu.Siku ukiyapata utajua wanayatumiaje
ana stress achana naye, anatafuta mahali pa kuzi dump!I thought you were a guy, anyway you have everyright to write/say anything.
Vidole vyangu havipo tayari kuandika upuuzi uko pmToa connection masikio yetu hayapo kwaajili ya kupokea maonyo. Nije pm?
Huwezi kujibu kama mtu ambaye hajanywa pombe?Vidole vyangu havipo tayari kuandika upuuzi uko pm
unajishushia hadhi as a manToa connection masikio yetu hayapo kwaajili ya kupokea maonyo. Nije pm?
Tupo pamoja kakaunajishushia hadhi as a man
wanawake hawayawez haya mambo
kamwe usimuulize mwanamke kuhusu haya wataishia kukujibu mbovu au hawajui kabisa.
Nawe huwezi kujibu Kama mtu aliyekula mavi?Huwezi kujibu kama mtu ambaye hajanywa pombe?
UNAFIKI kwa ngozi nyeusi umetukuka sana.Kuna siri nyingi duniani, unaweza kuta wewe unaamini bill gate ni freemason, lakini kwa ngende unaleta unafiki
PoaMkuu Sandali Ali ni PM tafadhali. Nahitaji taatifa muhimu toka kwako.
mkuu, fanya hivyo pamoja na upande wangu tafadhali.