Mnaouchukia ufukara na umaskini NGENDE ndilo jawabu lenu la mwisho

Status
Not open for further replies.
Mkuu na jaribu Ku pm Ila inagoma
 
Mbona hao wapogoro au wangindu wa Liwale hawana huo utajiri.
 
chonde chonde ngende kimbunga nabwiti marimbula kazi kweli kweli
 
Kama unataka utajiri fanya kutafuta mayai ya Bundi mawili tu. Ukiyapata rusha wembe ule wembe ukivutwa Kama sumaku nifate nikupe pesa


NB: yai moja linauzwa Kenyan Shillings 20 millions. Kazi kwako
A see mayai ya bundi nakumbuka Mara ya mwisho kuyaona ilikua nyarugusu sehemu inaitwa Buziba machimbon mpaka alitotoa mafaranga yake niliyashika na kuyaachia kumbe ni dili hivi?
 
A see mayai ya bundi nakumbuka Mara ya mwisho kuyaona ilikua nyarugusu sehemu inaitwa Buziba machimbon mpaka alitotoa mafaranga yake niliyashika na kuyaachia kumbe ni dili hivi?
Yatafute ni bonge deal kuzidi ata dhahabu but fuata hayo maelekezo yangu. Mi niliambiwa nikiwa form 4 afu Mungu siyo Athuman nikayapata mnamo mwaka 2010 aisee saiv nipo na Maisha walau uwezo wa kubadili mboga na nguo ninao. Kipindi hicho niliuza kwa KS 15m kila moja
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…