Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Yaan watu inabd kupewa elim ya madhara ya tigo kuna wanawake wanapata shida wakat wa kujifungua kutokana na kufanywa nyuma na hata kutokwa na haja bila kutegemea na hz style pia wakat wa sex ziangaliwe maana ck hz uume unakatika [emoji23][emoji23]wale wazee wanaopenda kupandiwa juu na wanawake mjiangalie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamb ya ride
 
vita ni dhidi ya mapenzi ya jinsi moja, lakini mapenzi ya jinsi mbili tofauti ni ruksa sasa wakiingia vyumbani ni juu yao kufanya mapenzi ya kinyume
Hakuna linalokubalika, iwe mwanamke kuingiliwa na mwanaume kinyume cha maumbile au mwanaume kumwingilia mwanaume mwenzie kinyume au mwanamke kumsaga mwanamke mwenzie

Wote huo ni uchafu na ufirauni
wanataka utamu
Hiyo ni roho chafu, kule Sodoma na Gomorrah walipigwa kiberiti wote lakini hadi wanachipukia wengine.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sawa kabisa. Jee ni kwa nini hatuoni kampeni za kupinga wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile??
Kwa ivo mwanaume kwa mwanamke ni sawa tu!! Yaani ni sawa kwa mwanaume kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke!!??
mapenzi ya jinsia moja, ndio vita inayopiganwa, tusichanganye hizi mambo.

dume vs dume, jike vs jike.
Nyinyi watu tatizo ni kuwa mlidanganywa na kuona Biblia Haina maana kumbe majibu yote ya maswali yanayoumiza vichwa vyenu yanapatikana kwenye Biblia; siyo Quran wala kitabu kingine chochote.
Someni Warumi 1:24-27 mpate majibu. Kwa suala hili zingatieni mstari wa 26
 
Nyinyi watu tatizo ni kuwa mlidanganywa na kuona Biblia Haina maana kumbe majibu yote ya maswali yanayoumiza vichwa vyenu yanapatikana kwenye Biblia; siyo Quran wala kitabu kingine chochote.
Someni Warumi 1:24-27 mpate majibu. Kwa suala hili zingatieni mstari wa 26

Waroma 1:24-27 Kwa hiyo, Mungu aliwaacha waendelee kufuata tamaa mbaya za mioyo yao na kutenda matendo ya unajisi nakufanyiana mambo ya aibu katika miili yao. 25 Hii ni kwa sababu walikataa ukweli ku husu Mungu wakaamua kuamini uongo; wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba ahimidiwaye milele! Amina.

26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa. 27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.
 
Jee hili si suala linalohitaji kampeni ya kulipinga kama ilivyo kwa ushoga??

Kufatilia mambo ya faraga kati ya mke na mume eti wanafanya kwa kutumia njia gani ni ukosefu wa kazi au ujinga ulokujaa??


KINACHOPINGWA NI MAPENZI YA JINSIA MOJA ((USAGAJI NA USHOGA ) KAMA ILIVOKYWA SODOMA.

Hayo yanayofanywa. Kati mwanamke na mwanaume hayatuhusu Sisi.

Acha kufananisha vitu visivyofanana ili kutetea USHOGA.

Sexual immorality zipo nyingi katika jamii lakini hili halihalalishi USHOGA WENU.

Na kama unataka kuchunguza faragha za watu basi pinga na mengine;

1. Mapenzi ya kunyonyana nyuchi

2.kujichua

3. Three some

4.Dogy style n.k


Wew ni mdau wa kutetea ushoga umekuja na hoja yako ya kinafki hapa tumekustukia.

Kwa hio kama hatupingi wanawake kuingiliwa nyuma ndo turuhusu mashoga??.


Acha unafiki.,acha ushoga.
 
Kwa hio kama hatupingi wanawake kuingiliwa nyuma ndo turuhusu mashoga??.


Acha unafiki.
Watanzania wengi huwa mnapenda kupinga au kutetea jambo bila ya kuwa na Mantiki.

Hivi tatizo ni kitendo ama aina ya watu wanaofanya hicho kitendo??

Kwako Wewe mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile unaona sawa, kwa mwanaume unaona sio sawa. KWA NINI?

Sasa Nani ni mnafiki kati yangu Mimi na wewe??
 
HUTAKIWI KUPIGA MWANAMKE, BORA KUFI.RA KULIKO KUMTWISHA KOFI
 
Back
Top Bottom