Hakuna Mwanaume anaweza kutimiza Matakwa ya mwanamke yoyote Duniani....!Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
π π Ng'ombe tena ikifikia hapo bora kila mtu alale chumba chake tuRaha sana kama mnapendana bila hivyo huchelewi kuona umekumbatia mbuzi au umekumbatiwa na ng'ombe πππ
ππKitu ya kunesa nesaHakika najuta kuusoma huu Uzi mida hiiπππ
Kanunuue mgando fc .maduka ya Tibaa asilliHili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
UpoooKumbe kuna kugandianaπ
Mkuu angalia vizuri matukio unayosema dadisi kwenu mna nyota ya kuachikaHili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Dunia ipo kasiπππππ
ππPoa poa halafu zile namna zilinisaidia sanaπππ You are missed though , nitafute kule mtu wangu
Acha bhana!ππniliwah kulala na kaslayqueen kamoja,asee kanajamba hakoo
SanaaaDunia ipo kasi
Nipo mkuu, unaendeleaje?Upooo
Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Tunaamsha dude lililolala kijanja. Na dude likiinuka hapo si mchezo utamu wake kwa hiyo style.Dah Raha
Kumbe mnafanyaga makusudi πππ