Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Hakuna Mwanaume anaweza kutimiza Matakwa ya mwanamke yoyote Duniani....!

Wewe hudumia familia, lea Watoto, timiza yale Muhimu kwa Mkeo....!

Mengine yasikuumize kichwa, hauko peke yako!

Hata mimi Ujinga huo ulinishinda.
 
Kanunuue mgando fc .maduka ya Tibaa asilli
 
Mkuu angalia vizuri matukio unayosema dadisi kwenu mna nyota ya kuachika

Sasa kwa hilo la mgando hujisikii na nk mmmh tofauti yaan mnakaribia kiachana soon kaa karibu na Mungu..ainusuru

Kifupi umepigwa Kimbola uachane na mwenzio wanakusikilizia nje ya uwanja
 
Mi nilizoea kulala mwenyewe kulala na mtu nimeanzia kwenye ndoa,zamani nilikuwa siwezi lala na mtukiufupi kila mtu ajifunike shuka lake.

Kubwa kuliko ili nipate usingizi mzuri lazima nilale kifudifudi,sasa mechanism ya kukumbatiana haiingii kabisa
 

Silijui hili aisee,
 
Nimegundua watanzania wengi bdo sana kwenye mapenzi isipokuwa tu,mnafanya ngono zembe

Kwa umri km huo bado ujui na ujawai kunasiana na mwenza wako ww bado sana naendelea kusoma comments.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…