Mnaozaa na wake za watu mnafikiria nini?

Mnaozaa na wake za watu mnafikiria nini?

Unachotakiwa kujua uaminifu una gharama, ishi mbali na vishawishi vinavyoweza kuharibu uaminifu, narudia tena sio rahisi sana inahitaji kuikana nafsi, na akili yenye kufikiri vizuri
Sasa mie naweza kujizuia je mwanamke wangu ataweza. Imagine muhuni yuko site hana hata muda wa kutiana ni kazi kazi.

Mke anakuwa free unakuta anatombesha tu. Hajali kama wewe utaumia kiasi gani siku ukijua.
 
Kuna jamaa hapo juu kasema "uikane akili inayo fikiri vizuri"

Huu msemo uoneni hivi hivi ila ni mgumu mno pale nilipo ambiwa na mtoto wa shangazi "Njoo unikune leo huku panawasha sana"

Ukiangalia kaweka na msisitizo usimuangushe yani unaona kbsa hapa bwana mwenye mapende kashakula point 5 kabla ya mchezo.
 
Jamaa hana kosaaaa...! Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewee
Hilo ni neno kaka mana huwezi kukimbia mitego kwa nguvu za kibinadam (yani mwili huu wa nyama ) lazima upate msaada wa kiroho.
Maana hata mwokozi wetu kristo alienda kuomba na roho mtakatifu alikuja kumpa nguvu ili kuweza kukabili kifo ambacho unakiona kbsa mbele na wewe unatakiwa uende.
 
Labda ombi! Mwanamke anaweza kumpenda mtu mpaka akaomba "mbegu" ili apate mtoto wa kufanana. Utamnyima?
Hata wanaume- Kuna mmoja mume wa mtu alikuwa anamshawishi mke wa mtu wazae naye kwamba huyo mke wa mtu ni mzuri sana anaomba naye wapate mtoto itakuwa Siri yao wawili na mtoto asingiziwe mume wa mwanamke 🤔🤔🤔

So hii kitu ni pande zote mbili ,usiwabebeshe lawama wanawake tu
 
Halafu mtu akiamua kumchinja mkewe mnamuona akili hana. Wanawake wengine wako so selfish to an extent all they deserve is a death wish.
acha tu kaka,unavuruga future ya familia kwa upuuz wa 5mins na wakat huo huo akiachika kwa mumewe na wew unachanja mbuga...ajabu now days watu wanajisifia urijal kunyandua mke wa mtu...SO SAD!
 
Back
Top Bottom