To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kabisa,ahera mahesabuMalipo huwa ni hapa hapa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa,ahera mahesabuMalipo huwa ni hapa hapa tu
Tumekusikia , kwakweli ni muhimu sana kufunga zipuWanaume tufunge zipu zetu sio KILA shimo unaingia
Ahamie ng'ambo ya pili kule ruxa1. Anasema hatia ya kuvunja ndoa takatifu ya mtu ataitubuje.
,😂😂😂Kwenye kikao tulikubaliana kwamba mahusiano ya mbali wanayaweza umoja wa mataifa
Wako wanaoomba, tena wanakupigia na magoti kwa heshima zote...huku wanakusifia kuwa wewe ni handsome....sasa hapo utafanyaje?Kuomba mbegu 😄 hii kali mzee
Sasa si ni Mbegu zao, sio tu waombe, inabidi wadai.Kiukwel wake za watu tuwakule lakini kuzaa nae ni kitu kibaya sana tena sana
Na wengine ambao huwa wananikera ni wale wanaozaa na wake za watu na baadae wanaanza kuomba mtoto
Hii ndio imekuwa kama kauli ya kujilinda kwa wengi...hata ukisafiri tu wiki mtu anaanza kusema mapenzi ya mbali....yaani kwa kifupi uzinzi umehalalishwa kwa sababu za kijinga sana.... kweli kuishi mbali mbali ni tatizo lakini sikuhizi sio tu kuishi mbali mbali imekuwa hata mwanandoa akisafiri hata kidogo tu basi mwenza wake anachepuka kwa kusema eti mapenzi ya mbali....mambo yakigaribika fulu vilio....Mapenzi ya mbali ni mtihani mengi yanaangukia pua kama hivyo
Mkuu shusha presha,, hofu ya Mungu haipo tenaHii ndio imekuwa kama kauli ya kujilinda kwa wengi...hata ukisafiri tu wiki mtu anaanza kusema mapenzi ya mbali....yaani kwa kifupi uzinzi umehalalishwa kwa sababu za kijinga sana.... kweli kuishi mbali mbali ni tatizo lakini sikuhizi sio tu kuishi mbali mbali imekuwa hata mwanandoa akisafiri hata kidogo tu basi mwenza wake anachepuka kwa kusema eti mapenzi ya mbali....mambo yakigaribika fulu vilio....
Ah kweli kabisa mkuu....watu tumemsahau Mungu kabisaaMkuu shusha presha,, hofu ya Mungu haipo tena
Ukimbahatisha mwenye hofu na Mungu ni kama muujiza,Ah kweli kabisa mkuu....watu tumemsahau Mungu kabisaa
Binafsi nyege zmenirudisha nyuma Sana kimaisha
Nahisi Kama sisi wangoni tuliumbiwa mapenz maana sketi isipite mbele yangu kwakweli