Mnaozaa na wake za watu mnafikiria nini?

Mi hamna mwanamke naemchukia
1. Kama anaechepuka kwny ndoa
2. Haitoshi,anajiachia anabeba mimba,
3.Haitoshi, analea iyo mimba mpk miez 9
4.Haitoshi, anamsingizia mumewe mtt

Mwanamke wa hivi Ni katili na muuaji mkubwa
 
I am married with four kids and am planning to have a kid out of my marriage soon[emoji4]. Kukamatwa Ni just risk Kama risk zingine.
Duuuuh ww ni mzuri au mbovu tuanzie hapo
 
Binafsi nyege zmenirudisha nyuma Sana kimaisha

Nahisi Kama sisi wangoni tuliumbiwa mapenz maana sketi isipite mbele yangu kwakweli
Naskia nyie wangoni
mikipewa pesa mnafikisha,ila sio mwanamke[emoji38]
 
Kuna njemba hapa anapita kideoni anadundaa amehukumiwa kifungo cha maisha kwa kumlawiti mgoni wake(mwanaume alietembea na mkewe) hana wasiwasi kabisa...
Nipo live Azam Tv
Kafungwa kiume,
Kesi ya hivo uko jela anaheshimika sana
 
Ukitembea na mke wa mtu unaweza kudhani wewe ni kidume sana, lakini kimsingi lazima dhambi hiyo utailipa wewe na huyo mwanamke kwa njia nyingine.

Imagine umetembea na mke wa mtu, umemjaza mimba na familia imevunjika, MUNGU hawezi kukuacha salama
 
Katika kikao tulicho kaa umoja wa ugegedaji wake za watu kuwa,tutaendelea kuzalisha wake za watu mbaka pale waume zao watakapo jielewa.
 
Nilishaapa kwa ardhi na mbingu,,nikufume na mke wangu au nigundue unatoka nae Haloo!
Utafanyaje ndugu?? Juzi Kuna jamaa kahukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kumfira mgoni wake aliyemfuma akimtia mkewe.

Mume kamfuma jamaa anamgonga mkewe, kwa hasira yule mume kamfira jamaa mgoni, mgoni kaenda mahakamani, mume kafungwa kifungo cha maisha jela.
 
Wangoni mnatisha kwenye kale ka mchezo mnakahusudu.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app


Halafu wenyewe wanaona ni Sifa!

Anything in too much is not good!

Kuna rafiki yangu mume wake wa ndoa Mngoni alimwambia mkewe “ Kwani wewe hujawahi kusikia habari za wanaume wa kingoni” ?

Mke kula akimstukia mumewe kwenye mahusiano ya nje ya ndoa vagi linatokea katikati ya vagi mume anamwambia mkewe “ Kwani wewe hujawahi sikia habari za wanaume wa kingoni?!

Imagine!

Eventually waliachana!

Kuhusiana na malaya yataka moyo!
 
Unaijua nguvu ya pesa lakini??? Nitamfanya kila uchwao ajute zaidi ya jana yake,,,labda siyo pesa.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…