Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh ww ni mzuri au mbovu tuanzie hapoI am married with four kids and am planning to have a kid out of my marriage soon[emoji4]. Kukamatwa Ni just risk Kama risk zingine.
Naskia nyie wangoniBinafsi nyege zmenirudisha nyuma Sana kimaisha
Nahisi Kama sisi wangoni tuliumbiwa mapenz maana sketi isipite mbele yangu kwakweli
Kafungwa kiume,Kuna njemba hapa anapita kideoni anadundaa amehukumiwa kifungo cha maisha kwa kumlawiti mgoni wake(mwanaume alietembea na mkewe) hana wasiwasi kabisa...
Nipo live Azam Tv
Kuna mtu kasema, angekua mume wa huyo aliechepuka angemuua mkeweMwenye Mume atamuuaje mkewe tena? Hujaeleweka hapa
Alooo kumbee so njemba zitakaa nae mbaliKafungwa kiume,
Kesi ya hivo uko jela anaheshimika sana
Ha ha ha....kabisa,Alooo kumbee so njemba zitakaa nae mbali
Mkuu naona unataka kumzalia 'kijana'I am married with four kids and am planning to have a kid out of my marriage soon[emoji4]. Kukamatwa Ni just risk Kama risk zingine.
Katika kikao tulicho kaa umoja wa ugegedaji wake za watu kuwa,tutaendelea kuzalisha wake za watu mbaka pale waume zao watakapo jielewa.Jana jamaa yangu yamemkuta hana amani ya moyoni, pana mke wa mtu mumewe wake anafanya Kazi mkoani anasema alikuwa anapitia, mke akanasa mimba mtoto kazaliwa mke wa mtu kamwambia jamaa huyu ni mtoto wako na wanafanana, mama yake mzazi na binti nae anajua mtoto sio wa mkwe wake bali ni mtoto wa nje baada ya kuambiwa na binti yake. Baba mzazi wa binti ajui ishu hii.
Jamaa kapigiwa simu jana na mke wa mtu kwamba mambo yamesharibika huku Mr ameshajua na alishawahi daka message yake na keshapigwa chini yaani kaachika akiwa kwenye hali ya uzazi. Jamaa yangu hana amani
1. Anasema hatia ya kuvunja ndoa takatifu ya mtu ataitubuje.
2. Mke wa mtu aliyeachwa kwa upumbavu wake anataka matumizi na yeye kipato kujigawa hawezi.Hofu uenda taarifa zikafika kwa mke wake zikifika nae ndoa uenda ikawa chali.
Jamaa hana amani hana furaha, hata Mimi nimejisikia vibaya sana.Na Mimi nawaza kuvunja nae urafiki kabisa.
Swali hadi mnazaa na wake za watu je hao malaya wanaoujiuza huwa hamuwaoni? Hadi mnaenda kutenganisha furaha za watu.
Kumbuka mke wa mtu aliyeachwa ana mtoto wa kwanza ambae nae anaenda kukosa upendo wa pamoja wa baba na mama.
Na nyinyi wanawake umepewa heshima ya ndoa kwann usikitulize nini kipya unachotafuta?
Acheni kubomoa familia za watu.
Maandiko yanasema " ndoa iheshimiwe na watu wote"
Midume mingine ya hovyo kabisa inaenda hadi kulala kwenye kitanda nyumbani Mwa mwanaume mwingine, walipasuliwa speaker ni haki yao kabisa.
uzuri MUNGU huwa afichi siri.
Dunia Ina mambo unaleta duniani watoto wasio na hatia. Majuto mjukuu, thus wamejaa makanisani. Dhambi hii ya kutenganisha kilichounganishwa haifutiki ni SAwa na kumwaga damu ya mtu.
Wangoni mnatisha kwenye kale ka mchezo mnakahusudu.Binafsi nyege zmenirudisha nyuma Sana kimaisha
Nahisi Kama sisi wangoni tuliumbiwa mapenz maana sketi isipite mbele yangu kwakweli
Utafanyaje ndugu?? Juzi Kuna jamaa kahukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kumfira mgoni wake aliyemfuma akimtia mkewe.Nilishaapa kwa ardhi na mbingu,,nikufume na mke wangu au nigundue unatoka nae Haloo!
Wangoni mnatisha kwenye kale ka mchezo mnakahusudu.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Hakuna akili kubwa ni kuendekeza tu.Ni nyege tu hakuna kingine.
Ku-control nyege inahitaji akili kubwa
Unaijua nguvu ya pesa lakini??? Nitamfanya kila uchwao ajute zaidi ya jana yake,,,labda siyo pesa.Utafanyaje ndugu?? Juzi Kuna jamaa kahukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kumfira mgoni wake aliyemfuma akimtia mkewe.
Mume kamfuma jamaa anamgonga mkewe, kwa hasira yule mume kamfira jamaa mgoni, mgoni kaenda mahakamani, mume kafungwa kifungo cha maisha jela.
Kuomba mbegu 😄 hii kali mzee
DuhJana jamaa yangu yamemkuta hana amani ya moyoni, pana mke wa mtu mumewe wake anafanya Kazi mkoani anasema alikuwa anapitia, mke akanasa mimba mtoto kazaliwa mke wa mtu kamwambia jamaa huyu ni mtoto wako na wanafanana, mama yake mzazi na binti nae anajua mtoto sio wa mkwe wake bali ni mtoto wa nje baada ya kuambiwa na binti yake. Baba mzazi wa binti ajui ishu hii.
Jamaa kapigiwa simu jana na mke wa mtu kwamba mambo yamesharibika huku Mr ameshajua na alishawahi daka message yake na keshapigwa chini yaani kaachika akiwa kwenye hali ya uzazi. Jamaa yangu hana amani
1. Anasema hatia ya kuvunja ndoa takatifu ya mtu ataitubuje.
2. Mke wa mtu aliyeachwa kwa upumbavu wake anataka matumizi na yeye kipato kujigawa hawezi.Hofu uenda taarifa zikafika kwa mke wake zikifika nae ndoa uenda ikawa chali.
Jamaa hana amani hana furaha, hata Mimi nimejisikia vibaya sana.Na Mimi nawaza kuvunja nae urafiki kabisa.
Swali hadi mnazaa na wake za watu je hao malaya wanaoujiuza huwa hamuwaoni? Hadi mnaenda kutenganisha furaha za watu.
Kumbuka mke wa mtu aliyeachwa ana mtoto wa kwanza ambae nae anaenda kukosa upendo wa pamoja wa baba na mama.
Na nyinyi wanawake umepewa heshima ya ndoa kwann usikitulize nini kipya unachotafuta?
Acheni kubomoa familia za watu.
Maandiko yanasema " ndoa iheshimiwe na watu wote"
Midume mingine ya hovyo kabisa inaenda hadi kulala kwenye kitanda nyumbani Mwa mwanaume mwingine, walipasuliwa speaker ni haki yao kabisa.
uzuri MUNGU huwa afichi siri.
Dunia Ina mambo unaleta duniani watoto wasio na hatia. Majuto mjukuu, thus wamejaa makanisani. Dhambi hii ya kutenganisha kilichounganishwa haifutiki ni SAwa na kumwaga damu ya mtu.
Kunawatu mnalambwa ka ninyiKwanini mnaoa je sisi watawa hamuoni tunavyomtumikia Mungu katika Haki na kweli?