Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mwanetu Mpaji Mungu hongera kwa kupiga goti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣yaani nilikuwa zaidi ya kibuyu,Wewe nawe kumbe kibuyu 🤣🤣🤣
Nyie ndo mliokuwa mnarusha mawe kwenye bati na geti ili kusumbua watu???
Kwa hiyo tunaoa malaya mkuu, manake hutaiona bikra kwa sasa hata utambike!!Ndio maana mimi mwanamke asiye bikira namuona ni malaya kama malaya wengine tu
Kwani uko serious?? 😜Mm natania au siyo? Hujui vile unankatisha tamaa yn
Pole sana!! Mwendo umeumaliza, imani umeilinda 😂😂😂🤣🤣🤣yaani nilikuwa zaidi ya kibuyu,
Hakuna biscuit sijui chocolate nilikuwa sijui bei. Bakery za ubungo zote zile nilimaliza kisa natafuta cupcakes. Mapenzi yaliniendesha sana jamani. Kwa niliyoyapitia naona kupiga Magoti ni kitu kidogo sana.
😔Kwani uko serious?? 😜
Ndo hivyo, we learn and we move. Ukijifanya una akili kwenye mapenzi hauwezi enjoy.Pole sana!! Mwendo umeumaliza, imani umeilinda 😂😂😂
Dada ni kibuyu anataka au kuna mengine..?🤣🤣🤣Kwani uko serious?? 😜
Ss hivi unajicheka na kujiona mjinga wa mwisho 🤣🤣🤣Ndo hivyo, we learn and we move. Ukijifanya una akili kwenye mapenzi hauwezi enjoy.
Mkuu hakuna namna ni mwendo wa kuoa malaya tu. Litakalomkuta muoaji na limkute tuKwa hiyo tunaoa malaya mkuu, manake hutaiona bikra kwa sasa hata utambike!!
Utoto raha sana, hahaSs hivi unajicheka na kujiona mjinga wa mwisho 🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182] Anza kutafuta PESA sasa, sivai Pete ya bati mimi.!! [emoji23]
Mkishindwa kula pilau ujue nduguyo amezingua 😂@Lamomy uduguuu njoo hapa, harusi ipoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 Kanikalia kooni huyo jamaa.!! Anataka apite na kibuyu kimazabe.Dada ni kibuyu anataka au kuna mengine..?🤣🤣🤣
I love you njoo sasa chuga tuanze new lifeUchaguzi bado 😂
Wee udugu unamuamini Mbaga 🤣🤣🤣@Lamomy uduguuu njoo hapa, harusi ipoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguuuWakati maghetoni wanaomba hadi machozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukimwambia zima taa anaweza kukubeba kabisa sio kukupigia magoti tyuuu.!!
Sasa mkiwa wapenzi mnakuwa dada na kaka au vikojoleo vikojoleane?Dada ni kibuyu anataka au kuna mengine..?🤣🤣🤣