Mnapata wapi wapenzi?

UBARIKIWE NDUGU!
 
Nilichokiona mwamba unatamani kumwaminisha mtu aamini unachoamini wewe
 
nitamdown grade mno kwanza hunijui salam sio dhambi hilo la kuniomba namba ndio hapana
Haya mambo ni Afrika yetu tu! Kwa mfano Madam ukikutana na mtu maarufu aidha mwenye wadhifa wake au maarufu kwa kitu fulani akakuomba namba yako hutampa?! Je! Na huyo utam-downgrade au utahisi na kumuona ni bazazi au ni neema na bahati?!
 
Wewe mademu zako wote unawapatia kwenye daladala. Usinunue gari mkuu.
 
Haya mambo ni Afrika yetu tu! Kwa mfano Madam ukikutana na mtu maarufu aidha mwenye wadhifa wake au maarufu kwa kitu fulani akakuomba namba yako hutampa?! Je! Na huyo utam-downgrade au utahisi na kumuona ni bazazi au ni neema na bahati?!
mkuu, anategemea ni nani!! kama ni mtu ambae napenda kumuona nitampa sasakumpa namba sio kua umekubali kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…