Acha kuwaza mapenzi, huu ndio wakati wako kuwaza maendeleo na kuweka mipango Yako sawa , kuwekeza, kama huna vitu vya kukuendeshea maisha acha mara Moja utamchoka mke wako mapema kwa sababu mtajikuta mnatazamana kama makondoo tu ndani hasa kama umempata anayetegemea akili zako kufikiri tu ndio umekwisha, pambana weka njia za kikuingizia kipato na tafuta mpambanaji mwenzako la sivyo ukipata beki tatu utakojoa dagaa, NDIO SIO KUGONGA TU KWA SABABU UNA NYEGE BALI NI INSTITUTION yaani wenye heshima zao na waliokubaliana kutengeneza generation na sio kula mbususu tu.