Mnapata wapi wapenzi?

Hata wanaosoma hapa wanalijua hilo. Labda ajitokeze mtu achangie hapa au akufuate PM akueleweshe. Uliza hata hapo ulipo. Usiwafate mabazazi wenzio, wafate wenye hekima, akili na busara.
Mkuu umenitoa akili, na sahizi unaniita bazaziπŸ₯², kwani vita? Kila mtu ashinde mechi zake ila punguza kuamini shirki ukitumia neno la mungu, je unayaishi hayo maandiko?
 
Hapa umeshindwa kuchekecha madam kubali tu 😊

Sio kila anayekuomba namba ni bazazi. Na si kila akutongozaye ni bazazi. Kwenye haohao unaowakataa yupo mtu sahihi... 😊
lets say nina mtu tayar sasa nagawa namba ya nn kwa mtu nisiemjua??
 
Inategemea na wewe unashinda maeneo gani.
Japo mahusiano hayana formula.
 
Sina uhakika na ukisemacho
 
Kwani Ubingwa, cheo au madaraka hujui huwa vinavuliwa?! Ni ajabu gani kijana kukuvua kule na kuwa wake?!

Tena huenda hapo ndo kukawa mwisho wa reli.
am not that kinda woman, nikikupenda ni wewe labda usinipe good return ya kile nachokupa, ni mwepesi wa kukustahmilia, ndugu nna mwaka wa tano huu na mwanaume mmoja tu
 
Huyo anafake hakun msichan mwenye sifa zote, tena ogopa kuoa bint anaeficha kasoro zake
 
am not that kinda woman, nikikupenda ni wewe labda usinipe good return ya kile nachokupa, ni mwepesi wa kukustahmilia, ndugu nna mwaka wa tano huu na mwanaume mmoja tu
MaashaAllah! Iwe kheir... wengine husema hivyo ila badae hubadilika (huonesha makucha)

Kama sikosei udongo wa maka weye eeh?! πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€”
 
MaashaAllah! Iwe kheir... wengine husema hivyo ila badae hubadilika (huonesha makucha)

Kama sikosei udongo wa maka weye eeh?! πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€”
hapana udongo wa serikali ya jamhuri ya muungano,unapompenda mtu unamuonea huruma, unamvumilia, unamheshim nakumlindia utu wako, hivo ndivo
 
hapana udongo wa serikali ya jamhuri ya muungano,unapompenda mtu unamuonea huruma, unamvumilia, unamheshim nakumlindia utu wako, hivo ndivo
Aisee! Sasa naamini ila bado mguu nje mguu ndani. Naambiwaga maneno hayahaya na mwenzio nyumbani ila nikisomaga "kula tunda kimasihara" na bwana rikiboy Natoaga imani na wanawake kabisa ingawa ninae tayari. By-the way nimekuuliza asili nikajua ni kama WIFE tu 😊 maana nlifkiri wote mpo namna hiyo (kitabia na misimamo)
 
Mizimu na mungu tena mrembo?! πŸ˜³πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… huu uganga sasa... eti albarakatu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

KUMEKUCHA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…