Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
Simba inakutesa sana.......
Nimekumbuka Jana haujala DAKU
 
Diarra kudaka tu kapenalty kamoja akaanza kuwatoa watu akili
Zile zingine zote zilimshinda muda ndio akajimwambafu na hiyo moja aliyozuia Ila alitolewa huku Mamelodi wakikomea kupiga penati 4 tu 😂😂
 
Hakuna aliyefunga kula ila kuna tuliobadilisha tu ratiba za milo.
All in all katika upigaji wa penati Huwa hatulaumiani kwasisi tuliowahi kukiwasha

Ila ndugu pole unaonekana hata CHANDIMU hujacheza😂
 
Mimi naona jumatatu mashabiki wa yanga waandamane kwenda kwa mama kama kawaida yao ili apate kulitazama na hili haiwezekani wananchi wanyonge wananyang'anywa haki yao kwa nguvu.
 
Kambi ya Fisi
Screenshot_20240406_104459.JPG
 
Mwamba HUYU HAPA.......

Napendekeza ajengewe sanamu kubwa pale mitaa ya msimbazi........katuepusha naejambo zito Sana.......Mungu amuhifadhi
FB_IMG_1712413468930.jpg
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
povu kutoka 2-mtungi aaa wee 3-mtungi mitungi mitungi mitungi ni mitungi mitatu home na ugenini.
 
Mimi naona simba na yanga zote zimepiga hatua mno mno.

Sizibezi hata kidogo kwa hiyo hatua ya robo, japo wanaitwa kina mwakarobo ila ni hatua nzuri kuliko zile za kwenda uarabuni kula kono la nyani hatua za awali tu.

Walau tufike ile hatua kuingia makundi sio big deal, kama ilivyo kwa giants wengi wa Africa.

Big up kolowizard na Utopolo.
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima akili za kichwani zinaanza kupungua.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Hata Kufika matuta Mwakarobo Junior ni kudra ya Mungu tu kajipangeni ndio maana MANARA alisema Utopoloni wenye akili ni wawili tu.Umesahau siye mwaka Jana tulifika matuta na Bingwa mtetezi wakati huo Wydad tena Kwa kuupiga mwingi,siyo Utopolo a.k.a Mwakarobo Junior ambaye kashindwa kufikisha hata average ya ball possession ya 50% katika mechi mbili ya Pretoria na DSM.hata Mungu haoendi acha waliowekeza wasonge mbele siyo takataka hizi za utopolo
Wewe uliyefikisha average ya ball possession ya 50% ilikusaidia Nini? Mbona umepigwa nje ndani Kama umesimama? Hatua hii ya mtoano ball possession inakupeleka wapi? Udumavu wa akili uanzia utotoni na ndiyo maana mangungu anaongoza wengi wenye udumavu wa akili ndiyo maana ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima akili za kichwani zinaanza kupungua.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Sasa kwa Nini wewe umekuja kuandika hapa basi na wewe ni miongoni mwao hao vijana
 
Back
Top Bottom