Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

Wewe uliyefikisha average ya ball possession ya 50% ilikusaidia Nini? Mbona umepigwa nje ndani Kama umesimama? Hatua hii ya mtoano ball possession inakupeleka wapi? Udumavu wa akili uanzia utotoni na ndiyo maana mangungu anaongoza wengi wenye udumavu wa akili ndiyo maana ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Kunywa maji Mwakarobo Junior toa mwiko Nyuma akili zikurudie,bila takwimu kama hizo unapata wapi legitimacy ya kulalamila eti nyie mpo Bora mnalilia semi final ambayo haikuwa kwenye malengo yenu,na bado mnatafuta huruma isiyokuwepo eti mmeonewa ,Je mlitaka mshinde kimazabe kama kawaida yenu mpira wacheze wengine kushinda mshinde nyinyi?,
 
Sasa penalty sisi za nini na wakati sisi tulitaka kushinda ndani ya dakika 90 na wao wakatunyima goal la wazi, wewe nae sijui hamnazo.
 
Kunywa maji Mwakarobo Junior toa mwiko Nyuma akili zikurudie,bila takwimu kama hizo unapata wapi legitimacy ya kulalamila eti nyie mpo Bora mnalilia semi final ambayo haikuwa kwenye malengo yenu,na bado mnatafuta huruma isiyokuwepo eti mmeonewa ,Je mlitaka mshinde kimazabe kama kawaida yenu mpira wacheze wengine kushinda mshinde nyinyi?,
Ndio nasema nyie mliokuwa Bora kwa takwimu za ball possession kwakuwa mmecheza mpira mkubwa scoreboard ilisoma ngapi?
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
Kuna maeneo umeandika ujinga mwingi, ila Yanga waimarishe kikosi hasa eneo la ushambuliaji. Yanga walikuwa na nafasi ya kumaliza hii gemu kuanzia huku dar, Mzize ni mchezaji wa hovyo sana. TImu haiwezi kutegemea Mzize na Guede kuchukua makombe ya Afrika. Yanga itafute namba 5 ya kueleweka na washambuliaji 2 matata, Mzize atolewe kwa mkopo na Guede wamrudishe walikomtoa.
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
Anza kuja
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa 🐸🐸 wameonewa.

Tayari 🐸🐸 mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
Waliathirika ki saikolojia ,swali fikirishi je ulishawahi kunyang'anywa tonge mdomoni na mbwa
 
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi.

Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya kumuumbua huyo aliyewanyima goli, lakini kwa sababu ya ubutu wa wapigaji hamkufanya lolote.

Huyo Aziz ki aliyefunga goli lililokataliwa ilikuwaje akashindwa kurudisha goli lake alilodhurumiwa pale alipoenda kupiga penati?

Ni kichaa tu anayeweza kusema kuwa [emoji196][emoji196] wameonewa.

Tayari [emoji196][emoji196] mmeshakuwa Mwakarobo jr kihalali kabisa, acheni kuwalaumu waamuzi.
Mkuu huogopi kutupiwa majini? Wamechafukwa kweli kweli hawa vyura
 
Kunywa maji Mwakarobo Junior toa mwiko Nyuma akili zikurudie,bila takwimu kama hizo unapata wapi legitimacy ya kulalamila eti nyie mpo Bora mnalilia semi final ambayo haikuwa kwenye malengo yenu,na bado mnatafuta huruma isiyokuwepo eti mmeonewa ,Je mlitaka mshinde kimazabe kama kawaida yenu mpira wacheze wengine kushinda mshinde nyinyi?,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom