Mnapojidai kutembea na wake zao wao wanatoka na watoto wenu na ndugu zenu wa damu hata mama zenu wanaopatikana nchi nzima. Watch out! karma is real.

Mnapojidai kutembea na wake zao wao wanatoka na watoto wenu na ndugu zenu wa damu hata mama zenu wanaopatikana nchi nzima. Watch out! karma is real.

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello,

Story kwa ufupi, duniani hakuna mjanja aloshindikana, kila penye nyumba na nyufa ipo. Katika hali iliozoeleka inaonekana kutoka na mke au mume wa mtu ni ushujaa sana mithili ya kubeba kombe la Dunia.

Kwa taarifa yenu hao mnaowaibia wake au waume zao ndio wanaotoka na watoto zenu, dada zenu, kaka zenu, na hata mama zenu.
Sex battle haikosi win-win, loose-loose, loose-win, win-loose scenarios.

Unaposema siuzi mechi natumia condom wao wanakula mbususu ya nduguyo, au mwanao kimneso mechi inauzwa yote malipo ni hapa hapa duniani dadadeki.

Kula mke wake wa DSM au Dodoma yeye anakula nduguyo au mwanao aliepo DSM au Dodoma.

Handle ur sex emotions carefully, Good health is key for your future.
 
Hello,

Story kwa ufupi, duniani hakuna mjanja aloshindikana, kila penye nyumba na nyufa ipo. Katika hali iliozoeleka inaonekana kutoka na mke au mume wa mtu ni ushujaa sana mithili ya kubeba kombe la Dunia.

Kwa taarifa yenu hao mnaowaibia wake au waume zao ndio wanaotoka na watoto zenu, dada zenu, kaka zenu, na hata mama zenu.
Sex battle haikosi win-win, loose-loose, loose-win, win-loose scenarios.

Unaposema siuzi mechi natumia condom wao wanakula mbususu ya nduguyo, au mwanao kimneso mechi inauzwa yote malipo ni hapa hapa duniani dadadeki.

Kula mke wake wa DSM au Dodoma yeye anakula nduguyo au mwanao aliepo DSM au Dodoma.

Handle ur sex emotions carefully, Good health is key for your future.
Pole sana kwa kupigwa na kitu kizito mkuu vumilia tu.

Usipogonga utagongewa [emoji419][emoji375]
 
Wakikumegea dem wako nawe tafuta mnyonge ummegee, haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume!...#MwanaFAsayed
 
Ukimla mke wa mwenzio na wewe wako ataliwa tu...KARMA is real!!!
Kuna watu wanajikutaga miungu watu, acheat yeye afanye uchafu wote akifanyiwa yeye hadi kondoo wa kijijini kwao atawasimulia....karma is there to bite their a.s.s 😏😏
 
Kuna watu wanajikutaga miungu watu, acheat yeye afanye uchafu wote akifanyiwa yeye hadi kondoo wa kijijini kwao atawasimulia....karma is there to bite their a.s.s 😏😏
Yes you're right, and the good thing with KARMA Ni huwezi kufa kabla haijakufikia😂
 
Back
Top Bottom