t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Wana watu wanawaita "Raiders" hawa ni kwa ajili ya ku deliver mizigo kwenye Street addresses . Wapo hadi mikoani ila bado wanahutaji sana kuboreshwa hawapo makini .Mkuu hawa speedaf Kwa Sisi wa mikoani wanamawakala?
Au ni Kwa Dar Tu?