Kuna watu wanajisahaulisha sana utadhani tanzania ndo imepata uhuru miaka angalau sita ilopita. Mambo ya ajabu sana.Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Sifa za kijinga zilizopitlliza
Si aliitwaga kiongozi wa malaika mbona wamemshusha Sana cheo
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Tunamanisha tunavyomanishaNimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
wajane tuliwakataza msishike simu mpaka mmalize Eda.Tutashitakiwa MIGAView attachment 1734170View attachment 1734171
Ha ha ha haaaaaa!Au hili Taifa linadanga, mababa wamekuwa wengi
Walisha zoea kusifu na kutukuza 'they have been brain washed'Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Basi ni Mheshimiwa Mungu
Ha ha ha kwani tulikubaliana ni nani?
John Magufuli sio baba wa Taifa
La baba wa madikteta wa huko ccm
Lakini ngoja,huu niwakati wa mapambio ukiisha hamtosikia hilo nenoEee,sasa huyu katokea wapi tenaa lakini?