Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni wanafiki balaaTena watakaoongoza kumsema ni hawa hawa maccm wenzake waliokuwa wanaruka ruka barabarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wanafiki balaaTena watakaoongoza kumsema ni hawa hawa maccm wenzake waliokuwa wanaruka ruka barabarani
Wengi Wanao Jifanya Kulia Lia eti Shujaa Wa Chato alikua ni Mtetezi wa Wanyonge. Wengi Wao ni Watu wenye Roho za Kimasikini waliokua Wakishangilia Matajiri wakiporwa Mali zao na Kumbikiwa Kesi za Ukwepaji Kodi. Walitamani Matajir Waish kama Maisha Wanayoish wao Roho za KimasikinMbona mnateseka sana jamani? Hayati JPM ni shujaa wa Afrika. Hukuwasikio hotuba za Maraisi na viongozi wa AU, SADEC na EAC siku ya kumuaga JPM kitaifa pale Dodoma?
Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Magufuli hawezi kuwa na sifa ya kuitwa Baba wa Taifa. Alikosa maono ya kiuongozi pia alipungukiwa uvumilivu mwingi ambao ni sifa ya mlezi wa Taifa.Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Magufuli hawezi kuwa na sifa ya kuitwa Baba wa Taifa. Alikosa maono ya kiuongozi pia alipungukiwa uvumilivu mwingi ambao ni sifa ya mlezi wa Taifa.
Naona Magufuli aligusa wizi wenu ndo hamuishi mabandiko hapa JF yanayomhusu MagufuliNimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Anajifurahisha uchumia tumbo huo Ila usishangae hiyo kuliko lile la kusema JPM ni mungu hadharani na hakuna aliyekemeaNimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Anajifurahisha uchumia tumbo huo Ila usishangae hiyo kuliko lile la kusema JPM ni mungu hadharani na hakuna aliyekemea
Uvumilivu kwenye mambo ya kijinga hata Bwana Yesu hakuuvumilia alipindua meza na kuwatimua wachuuzi kwenye nyumba ya Ibada.Magufuli hawezi kuwa na sifa ya kuitwa Baba wa Taifa. Alikosa maono ya kiuongozi pia alipungukiwa uvumilivu mwingi ambao ni sifa ya mlezi wa Taifa.
Uvumilivu huanzia kichwani mkuu. Ukiwa mtu wa pupa unaweza kutegewa mtego mbaya ukaushusha thamani uongozi wako wote.Uvumilivu kwenye mambo ya kijinga hata Bwana Yesu hakuuvumilia alipindua meza na kuwatimua wachuuzi kwenye nyumba ya Ibada.
Hii komenti naifuatilia hadi leo niuone ukweli!😂😂😂😂Baada ya miezi 2 hakuna mtu atamtaja tena kwa mazuri, haya mazwazwa yanasifia tu muda huu.
Wameshaacha huu utoto uliokuwa unawasumbua.Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?
Hatari sn mkuuHii komenti naifuatilia hadi leo niuone ukweli!😂😂😂😂
Mkuu wanamuita baba wa Taifa KWa kutuachia deni la taifa nyongeza ya tir,40 na ndani yamiaka 5,Nimesikia baadhi ya watangazi wa TV hasa TBC wakimuita Magufuli baba wa Taifa, je wanamaanisha nini?
Naombeni tusaidiane majawabu
- Je, Taifa Lina mababa wawili?
- Je, Nyerere kawa babu wa Taifa?
- Je ,Nyerere tushamsahau na hana umuhimu tena kwa Taifa letu?