Boya wangu aliagiza 3 baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ni day one.
Unajua kuna falla anakujua kiundani yuko huru kwako kwa day one huko ni kuchemsha hata kama uko na mzungu
Haha, mkuu pole. Wengine tumekutana na watu wenye kujielewa kichwani. Kwangu hilo halijawahi kutokea.Boya wangu aliagiza 3 baba🤣🤣🤣
Na ni day one.
Unajua kuna falla anakujua kiundani yuko huru kwako kwa day one huko ni kuchemsha hata kama uko na mzungu
Niamini.Eeh sio ile miyeyusho ya kuagiza vitu ghali kwa misifa, unless otherwise ulipie vinywaji straight away.
Una meet na don sioUtani tu kufurahisha genge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiyakuze this week nina meet na mtu kutoka humu tajiri mkubwa sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] piliziiiii
KabisaKweli kila kitu kinatakiwa kuwe na kiasi hata kama unaona mtu ana pesa
Henny 3 like WTF mane😀?! Kulikua na sherehe au dah!Boya wangu aliagiza 3 baba🤣🤣🤣
Na ni day one.
Unajua kuna falla anakujua kiundani yuko huru kwako kwa day one huko ni kuchemsha hata kama uko na mzungu
Una meet na don sio
Sa ikatoke Don akajikuta amemispalce Kadi hutalipa? Au utajisahaulisha Kadi?
YameishaBasi yaishe!!
Mie mmoja tu alinishangaza sana alivyoHaha, mkuu pole. Wengine tumekutana na watu wenye kujielewa kichwani. Kwangu hilo halijawahi kutokea.
Mtoa mada una hoja nzuri na WANAUME tumekuelewa.
Wavulana, vijana, watoto kiume na kike ndio wataleta maneno mbovu mbovu.
Kumbe mna lisanga lenu?Wee ndugu upande wa mama...
Ila anko ako akinyea kiganja hukikaki kumbuka
Tabia zetu zinafahamika,unakuta mtu mwingine umemualika anakuja na mke wake,unawalisha,unawanywesha,tena mke anagiza windhoek azinywi zote anabeba takeaway na kuwakodia usafiri warudi makwao,wakati unamsindikiza kwenye Tax au bajaji anakwambia unajua mwanangu anaolewa siku fulani hapo anahitaji mchango.
Asee hakuna raha kama mwanamke nawe ufanye clearance ya bill...ina raha yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] swali la mtegi sitokujibu unataka nipotezea meetingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuendelee hapo hapo kwenye uhalisia..!! Unamualika mtu kwa Mangi grocery, hayo makolokocho ya laki laki yapo? Maana ukimualika Kempisk lazima wewe mualikaje ujue bei za vinywaji au vyakula katika eneo unalomualika.Mkuu hapo ulipo najua una pesa.
Unaonaje umwalike mtu lkn akija achukue BUMBU RUM 3@110,000=330,000
Hivyo ni vinywaji tu ni sawa?
Tuongee uhalisia tusijifiche nyuma ya keyboard😂😂😂😂😂
Ndio maisha mkuu, binadamu hatufanani, ila ungeuvaa uso wa kondoo na kumwambia tu kuwa your budget is limited.Mie mmoja tu alinishangaza sana alivyo
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kwahio unampinga tajiri, kama hutumii BALIMI agiza hata Dasani basi utulie 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mkuu kama huna pesa yakutosha kwann unaalika raia? Binafsi nikikualika kula na kunywa unacho jisikia!!!! Inawezekana wewe unachotumia mwenzio hatumii usilazimishe mtu apige balimi kisa wewe ndo mlipa bill[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole aiseeBoya wangu aliagiza 3 baba🤣🤣🤣
Na ni day one.
Unajua kuna falla anakujua kiundani yuko huru kwako kwa day one huko ni kuchemsha hata kama uko na mzungu
Pesa nayo changiaga ni msiba au ugonjwa tu.Na usipo mchangia anakasirika
Mkuu hayo ya mimi na Naka yaache kama yalivyo🤣Kumbe mna lisanga lenu?
Pole yake🤣🤣🤣Pole aisee