Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Boya wangu aliagiza 3 baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ni day one.
Unajua kuna falla anakujua kiundani yuko huru kwako kwa day one huko ni kuchemsha hata kama uko na mzungu
Kweli kila kitu kinatakiwa kuwe na kiasi hata kama unaona mtu ana pesa