Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Hakuwa na aibu 😂😂😂
Kila mara jf huwa nasisitiza wanaume tuchague wanawake wenye akili unafikiri huwa natania?.

Kuna pisi mkikutana tu na kujumuika chakula anaanza kukuita mume na kuanza kukudhibiti..imejini ni day 1.


Hiyo hiyo day one anakueleza shida zake zoote.
1. Mama mgonjwa
2. Kodi ya nyumba
3. Gas imeisha
4. Kesho kutwa birthday yangu nataka 1m.
Yaani nilichoka na huu ni uhalisia.
Lisaa limoja na nusu nilipewa bajeti ya 1.6m.

Sijamtingoza na sikuwa na mpango.
Dejane hebu niambie nilikutana na pepo au nini?

Note: kuomba sio dhambi bali timing ni muhimu.
 
Mimi huwa sikoseagi hapo kwenye agiza chchote

Kuna rafiki yangu alikuja dar tulikuwa tumesoma wote alikuwa kapata ajira sasa akawa anatafuta sehemu ya kufurahi nikamwambia ww una pesa akasema nishalipwa zile hela za kuazia maisha zile

Nikamwambia poa nikampeleka karambezi ase alifurahi hila alioa 2ook inakatika kwa chakula na vinywaji tu akasema tukimaliza hapa tuondoke nikamuuliza unataka pengine au akasema ndio

Nikampeleka soweto napoa akanona hela inapukutika akaomba msaada nilipie nikamwambia mimi kadi nimesahau wewe lipa tu akalipa kesho yake morng anaomba nimkopesha 10000 ya nauli nikamwambia mimi sina nipo mweupeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jamaa alijimix hapa Dar kama mgeni wa maeneo acha mbwembwe. Kuna viwanja kadhaa ukiingia kukata 3M ni kawaida kwa starehe ya usiku mmoja tu.

Sasa we mtu katoka malinyi unampeleka Karambezi kweli 😀???
 
Kila mara jf huwa nasisitiza wanaume tuchague wanawake wenye akili unafikiri huwa natania?.

Kuna pisi mkikutana tu na kujumuika chakula anaanza kukuita mume na kuanza kukudhibiti..imejini ni day 1.


Hiyo hiyo day one anakueleza shida zake zoote.
1. Mama mgonjwa
2. Kodi ya nyumba
3. Gas imeisha
4. Kesho kutwa birthday yangu nataka 1m.
Yaani nilichoka na huu ni uhalisia.
Lisaa limoja na nusu nilipewa bajeti ya 1.6m.

Sijamtingoza na sikuwa na mpango.
Dejane hebu niambie nilikutana na pepo au nini?

Note: kuomba sio dhambi bali timing ni muhimu.
🤣 IMEJINI YANI JUST IMEJINIII
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jamaa alijimix hapa Dar kama mgeni wa maeneo acha mbwembwe. Kuna viwanja kadhaa ukiingia kukata 3M ni kawaida kwa starehe ya usiku mmoja tu.

Sasa we mtu katoka malinyi unampeleka Karambezi kweli 😀???
We falla uje Ar nikupeleke TUMBILI🤣
 
Kuna mambo ya kuzingatia unapotoka out na mtu.

1. Umealikwa au umealika? Unaalika mtu then unataka yeye ndio afanye ku-clear bills?
2. Kama ni mtu wako kuwa wazi kwake, kwani shida gani kumwambia gf wako leo siko poa sana, kama yupo after your pocket ndio itajulikana.
3. Usitoke out bila pesa, uwe umealikwa au umealika. Hapa mjini unaweza kuadhirika vibaya.
4. Kama umealikwa kuwa muungwana, kuna mtu anakualika sio kwa vile ana pesa siku hiyo, huenda he/she is missing you, anatamani mkae mahali muongee na kula/kunywa kidogo. Sasa mwenzangu unakuwa na uroho wa kula na kunywa vya gharama.
5. Wale mnaopenda 50/50 basi huo ndio wakati wenu, unasikia "nitalipia vinywaji, wewe lipia misosi".

Mambo ni mengi.

Naonaga waturuki kwenye tamthilia kila mahali wanapoenda wanaagiza chai au kahawa na ikiwa chakula ni kidogo sana bite tu
Sisi tunataka kuku ,bia,chips ndio maana tunanenepeana hovyo
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Jamaa alijimix hapa Dar kama mgeni wa maeneo acha mbwembwe. Kuna viwanja kadhaa ukiingia kukata 3M ni kawaida kwa starehe ya usiku mmoja tu.

Sasa we mtu katoka malinyi unampeleka Karambezi kweli [emoji3]???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alitaka apost wasp good place af si unajua watu wa kigoma wakifika mjini kwaio ilibidi nimpeleke ila mpaka leo akitaka kutoka ananiambia nisimpeleke maeneo kama ya karambazi

Nampelekaga kitambaa cheupe na kibozone na maeneoa mengine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini.

Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote.

Yani ni metoa jamaa tendwe tukapate supu anaona mimi naagiza makongoro ya ng'ombe yeye anaagiza mchemsho wa kuku tena kidali. Kwa nini usisubiri kusikia muhusika kwanza.

Kuna wengine umeagiza chakula cha kawaida yeye anaagiza kushinda wewe.

Tuheshimiane tutakwepana: Jana nampa mtu ofa chukua bia anaona nakunywa balimi yeye anataka windock tena anabugia kwa sifa.
Kama una roho ya kimaskini kama hii, usipende kutoa ofa kabisa. Utakuja aibika ushangae.
 
Mimi huwa sikoseagi hapo kwenye agiza chchote

Kuna rafiki yangu alikuja dar tulikuwa tumesoma wote alikuwa kapata ajira sasa akawa anatafuta sehemu ya kufurahi nikamwambia ww una pesa akasema nishalipwa zile hela za kuazia maisha zile

Nikamwambia poa nikampeleka karambezi ase alifurahi hila alioa 2ook inakatika kwa chakula na vinywaji tu akasema tukimaliza hapa tuondoke nikamuuliza unataka pengine au akasema ndio

Nikampeleka soweto napoa akanona hela inapukutika akaomba msaada nilipie nikamwambia mimi kadi nimesahau wewe lipa tu akalipa kesho yake morng anaomba nimkopesha 10000 ya nauli nikamwambia mimi sina nipo mweupeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungemtoa mwenzako af 10 bwana..si mlienjoy wote??
 
Hahahahah angefurahi, maana Exit plan ziko sebleni tu. Ni ku place tu then nakacha scene.🤣🤣🤣
Angepelekwa kwa manager akadeki vyoo 🤣🤣🤣🤣 me nkitembea na muamala mnaniona nna kibri...aibu hizi nani anataka.
Wafundisheni watoto tabia ya kuwajibika na kutopenda kupewa pewa . Wafundisheni kutoa..kamwe haya mambo ya mtu kula laki3 na kulia shida kibao kwenye mtoko wa kwanza hamtayaona
 
Ungemtoa mwenzako af 10 bwana..si mlienjoy wote??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni wale watu ambao tunalewa wote kwenye shida pambana na hali yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila utani sio kweli nisije kosa ofa haapa
 
Back
Top Bottom