Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kazi kwa kweli.Hahaha mtu analalamika mwenzie kuagiza nusu kuku wa kienyeji ....
Asee baki home kama hakuna miamala
Asante sana kwa kuelewa, huwa watu wengi wana mis interpretigi hilo swala na kuhisi huenda napenda slide show 🤣🤣🤣Huyu jamaa huwa namsoma sana misimamo yake.... halafu si ameoa juzi juzi huyu?
Vitu vya laki tatu peke yake?alikuwa demu wako ?tuanzie hapo alikunywa nin na kula nin na mlikuwa hotel gani?Hujaona hoja hata moja mkuu?
Jamaa kaongea vizuri mkuu.
Ukialikwa chukua tahadhari usijiachie sana.
Yesu alisema ukilikwa karamuni kaa viti vya nyuma...subiri uletwe viti vya mbele.
Lengo ni nini?.
Ikiwa nimekualika halafu ukaagiza chakula cha bei ndogo labda kwa uoga...mimi niliyekualika nitakwambia chukua hata kuku mzima na wine.
Na kama siko poa hicho hicho cha bei ya kawaida nitakuacha uendelee nacho.
Mimi niliwahi kumtoa mtu out aliagiza vinywaji na chakula jumla 300k.
Je kama ningekuwa mchovu unafikiri ingekuwaje?
Hahahah hio kauli ya msikilize lazma iwe backed up na kadi ya ATM ambayo inq zaidi ya 1M incase unaenda viwanja vya ushuani.
Ila kama ni maeneo yetu ya uswahilini haya sijui kitambaa cheupe and shyt huko hata ka laki 4 kanatosha kuvimba.
Chochote ndio, ila kisizidi kongolo!Ni kweli kabisa endapo mtu Amekuambia kuwa agiza chochote unachotaka au nakosea wakuuu?
Unakuwa na aibu kitu hulipi weweChochote ndio, ila kisizidi kongolo!
🤣 🤣 🤣 Agiza chochote huku mwamba anakukadiria umalizi elfu 20! Picha linaanza ameita bucket ya Heineken baridi.[emoji23][emoji23][emoji23] watu wanachukulua poa sana
Hakuwa dem wangu.Vitu vya laki tatu peke yake?alikuwa demu wako ?tuanzie hapo alikunywa nin na kula nin na mlikuwa hotel gani?
Me nakusoma sanaAsante sana kwa kuelewa, huwa watu wengi wana mis interpretigi hilo swala na kuhisi huenda napenda slide show 🤣🤣🤣
Chuga is the Place to be,Huu mji ukiwa na pesa ni mzuri sana
Hakuwa na aibu 😂😂😂Hakuwa dem wangu.
Ulikuwa mwaliko wa kwanza na alitamani tufahamiane ....tulikuwa na group flani na tulikuwa tunajiandaa kusafiri wote kwenda nchi flani watu kama 9 hivi.
Umeshtuko bei hiyo?
Mbona hotelini sio ya kutisha?
Nikitaja hotel ni utambulisho tosha...no
Sema hio intro lazma alikufa mtu kule Norway 😀Hakuwa dem wangu.
Ulikuwa mwaliko wa kwanza na alitamani tufahamiane ....tulikuwa na group flani na tulikuwa tunajiandaa kusafiri wote kwenda nchi flani watu kama 9 hivi.
Umeshtuko bei hiyo?
Mbona hotelini sio ya kutisha?
Nikitaja hotel ni utambulisho tosha...no
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Agiza chochote huku mwamba anakukadiria umalizi elfu 20! Picha linaanza ameita bucket ya Heineken baridi.