Yaani hapo kama unaniona mbwa mimi.Ujinga wa bier ni huu. Unaondoka zako peke yako unaagiza bia zako mbili. Kama uliweka dhamira unywe mbili, sasa ukiisaliti dhamira yako ukanywa tatu basi dhamira nayo ina revenge, payback tyme! Unajikuta unatoa simu mwenyewe mfukoni unatafta wana, ooy wewe fisi maji uko wapi? Umbwa wewe njoo unywe mbili, unatafta mwingine na mwingine na mwisho wa siku unajikuta meza ina watu kama saba imetapika vyupa huku mlipaji ukiwa ni wewe. Pesa yako inakusaliti. Hukomi, siku ingine unarudia upuuzi ule ule, i quit
Mzee hi vita ulioanzisha 🤣🤣🤣 utakimbia kama mrusi... Too many calls🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo nitakoma mbona?
Mhh sio rahisi kihivyo ukiwa kwenye angle flanFor sho, ila as long as u grown you know how to handle shit the right way.
Mke wa afande alinogewa 😀 hakula muwa kwa afya mwisho wake ni balaa.Mhh sio rahisi kihivyo ukiwa kwenye angle flan
We unaona hadi mke wa afande kaharibu huko mwanza mchezoo
Aaa wapiMzee hi vita ulioanzisha 🤣🤣🤣 utakimbia kama mrusi... Too many calls
Show off mkuuYote ya nn si usimtoe tuu
Hahaha kufwata mkumbo kwamba kwa kuwa flan anatoa dem wake nje na wewe yako..Show off mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣 Huku Himars kule Iskander hujakaa vizuri mara Hypersonic heheheh.Aaa wapi
I can control myself ila kuna mahal hata mm nasema leo nguruwe njoo mkuki upo 🤣🤣🤣🤣Mke wa afande alinogewa 😀 hakula muwa kwa afya mwisho wake ni balaa.
Will take care of that.
Ukimtoa wako out na mm namtoa wangu outHahaha kufwata mkumbo kwamba kwa kuwa flan anatoa dem wake nje na wewe yako..
Mbaya sana
Ni washkaji zangu sana so wananielewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huku Himars kule Iskander hujakaa vizuri mara Hypersonic heheheh.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahah huwa kuna siku you cant resist the pleasure😍 Oh Lord have mercy!!!I can control myself ila kuna mahal hata mm nasema leo nguruwe njoo mkuki upo 🤣🤣🤣🤣
Am a human being u knoww🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahah huwa kuna siku you cant resist the pleasure😍 Oh Lord have mercy!!!
Kuiga kubaya aseeUkimtoa wako out na mm namtoa wangu out
Mwisho wa siku anakuja kuliaaa.
Aje tuuliza wale wabishi wa kitambo.
Tulikuwa tunampeleka mdada koko ya enzi zike haina pombe wala msosi yan atalambalamba vile vyakula vya kulamba vya kaka baresa ambavyo havifiki hata elfu 5 then tunarudi then nae anakuwa kafurahi
Oh yeah I dig it. Dont sweat it, everything will be as beautiful as your innocent smile.Am a human being u knoww
with feelings jaman
We faller mwenyew[emoji1787]...si umenkaushia xmass ukajua nakuja kula 300k,.....kumbe maskini hata soda ya buku simaliziUmeanza kufuta ee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaitwa uzunguni we faller
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]UNajua nilivyomtunza dadako kabla hajaota mapembe[emoji23]
Soma post #360 shemejiWe faller mwenyew[emoji1787]...si umenkaushia xmass ukajua nakuja kula 300k,.....kumbe maskini hata soda ya buku simalizi
Nakadori mmh wewe ni shida karibu post #360I can control myself ila kuna mahal hata mm nasema leo nguruwe njoo mkuki upo 🤣🤣🤣🤣