Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Yaani hapo kama unaniona mbwa mimi.
 
Mhh sio rahisi kihivyo ukiwa kwenye angle flan
We unaona hadi mke wa afande kaharibu huko mwanza mchezoo
Mke wa afande alinogewa 😀 hakula muwa kwa afya mwisho wake ni balaa.
Will take care of that.
 
Hahaha kufwata mkumbo kwamba kwa kuwa flan anatoa dem wake nje na wewe yako..
Mbaya sana
Ukimtoa wako out na mm namtoa wangu out
Mwisho wa siku anakuja kuliaaa.
Aje tuuliza wale wabishi wa kitambo.
Tulikuwa tunampeleka mdada koko ya enzi zike haina pombe wala msosi yan atalambalamba vile vyakula vya kulamba vya kaka baresa ambavyo havifiki hata elfu 5 then tunarudi then nae anakuwa kafurahi
 
I can control myself ila kuna mahal hata mm nasema leo nguruwe njoo mkuki upo 🤣🤣🤣🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahah huwa kuna siku you cant resist the pleasure😍 Oh Lord have mercy!!!
 
Kuiga kubaya asee
 
Umeanza kufuta ee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaitwa uzunguni we faller
We faller mwenyew[emoji1787]...si umenkaushia xmass ukajua nakuja kula 300k,.....kumbe maskini hata soda ya buku simalizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…