COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Sawa vunja hiyo heshima Mimi nikutawanye kama fimbo ya Musa ngik lesiu loata njelele kumok , shipina lesiu , narubumenyee shomo oldia lesiu Miata onyoo kake itolimu marange waade shomo nguri esakutoni or 2023 shomo ngik kumuk eing'ukUliza wanaonijua kwa kina, nikiamua kumdiss mtu huwa nahakikisha namvunjia heshima
Maneno yangu daily ni hazina, so siwezi yatawanya pasipo na ulazimaSawa vunja hiyo heshima Mimi nikutawanye kama fimbo ya Musa ngik lesiu loata njelele kumok , shipina lesiu , narubumenyee shomo oldia lesiu Miata onyoo kake itolimu marange waade shomo nguri esakutoni or 2023 shomo ngik kumuk eing'uk
Narubu menyeeManeno yangu daily ni hazina, so siwezi yatawanya pasipo na ulazima
Malimbukeni ndio zesheni sana! Kila siku jitu linakunywa mirinda unalipa offer linaenda agiza desperado na lina bwia mpaka lina tapika , sio uharibifu huoYaani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini.
Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote.
Yaani nimetoa jamaa tendwe tukapate supu anaona mimi naagiza makongoro ya ng'ombe yeye anaagiza mchemsho wa kuku tena kidali. Kwa nini usisubiri kusikia muhusika kwanza.
Kuna wengine umeagiza chakula cha kawaida yeye anaagiza kushinda wewe.
Tuheshimiane tutakwepana: Jana nampa mtu ofa chukua bia anaona nakunywa balimi yeye anataka Windock tena anabugia kwa sifa.
badala ya kulalamika Kama umekula pini, chagua kufanya au kuweka mpira chiniNarubu menyee
Uninyooshe mara ngapi sema sahv unipinde kabisaHuyo najua pa kumnyoosha mache tu
Glenn namjua miaka 6 sasa nje ya jf kwa kweli ni rafiki mzuriii sana[emoji1635][emoji1787][emoji1787]My brother Glenn kama ni kweli uko kama ulivyojielezea basi Mungu akubariki, hongera sana sana mkuu, napenda kuwa na marafiki kama nyie
Si kwa sababu ya hizo ofa sijui out bali ni kwa sababu ya hiyo kauli uliyosema, kwamba siyo kila mwanamke wewe lazima umle, na hii siyo mara ya kwanza nakuona uko against huu ulimbukeni
Kama sijakuelewa vibaya, basi umemaanisha kwamba wewe unaweza kuwa na urafiki na mwanamke bila kumla, so bila shaka una marafiki wa kike kibao ambao hujawala si ndio
Yani wanaume design yako mmebaki wachache, binafsi napenda sana kuwa na marafiki wa kiume ila wengi huwa tunashindwana hapo tu, lazima tu atataka akuletee mambo ya kiwaki
Wana msemo wao eti hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke lazima tu mtakulana, sasa siyo kila mtu anafagilia hizo mambo, wengine tunapenda kuwa na washikaji tu na si vinginevyo
Mimi binafsi mwanaume ambaye ni rafiki yangu, na hajawahi nitongoza wala kuniomba ngono huwa namheshimu saaana yani saaana, kuliko wanaojifanya wanataka waonekane vidume
Kwanza wengine tukikutana na watu hatunaga mambo ya kichawa wala vizinga hata uwe na hela vipi, sisi wengine tunachohitajigi ni urafiki tu maana picha linaanza tuna sura za baba zetu halafu hatuna pigo za kisister du na pia tunajiweza kiaina, hivyo kutongozwa na kuhongwa kwetu siyo dili wala nini
Aaaah weee si umensusaNipigie nikwambie basi shemu langu
Nimeona aisee ni jambo nzuri
nipo salama Baba vipi weweNinaamini uko salama huko binti yangu
Huku salama tu mwanangu.nipo salama Baba vipi wewe
joto ndo kuzidi .. usiku ufike tutulie
vizuriHuku salama tu mwanangu.
Poleni kwa joto
Hahahhaa unataka kujifanya hujui nachoringia auBasi acha unaringa nini sasa? Aah kwenda zako[emoji28][emoji28]
Umeanza lini kuniita shem akati dada angu ulishamwacha au kuna mchuchu humu unamkula nn ndo mana unajidefence maana ww hukosiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini unafikiri sikosi?
Kweli sina mtu humu...kama yupo ajitokeze tu ruksa.
Ni kweli dadako siko naye lkn unajua fika SINA DENI JUU YAKE na sina makosa nilitimiza wajibu wangu kwa uaminifu mkubwa...unalo?
HahaKwa hiyo jimbo
Yes hii ndio tunatska kula kwa step😁Leo nimetolewa ofa nikakumbuka huu uzi
Mwenyeji kaagiza chips kuku na soda hapo seacrif mimi nikaagiza chips kavu akaona aibu akasema muongezeew na tropical na mishikaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijavunja kanuni sio mkuu?