Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Ukiamua kukaa na mimi mahali asee nisipangiwe cha kutumia. Uzuri mimi huwa nabeba muamala wangu incase hauko poa nalipa..na pia huwa nakuuliza kama uko njema au uko vibaya nimalize shoo...
Kiburi hicho naomba uje nacho hapa Serena Hotel 🤣🤣🤣
 
Nakadori hili bidada ni jeuri, umesoma matusi yake?🤣🤣🤣🤣
Nitamwalika Granmalia au TGT wanakoingia kwa kulipia nione jeuri yake🤣🤣🤣
Hapo kwenyewe nshapiga evening tea kuna Fogo moja wa serikali aliniita pale kuongea ishu moja japo haikufanikiwa... gharama za ile tea na snacks haikufika hata buku 10
 
Hapo kwenyewe nshapiga evening tea kuna Fogo moja wa serikali aliniita pale kuongea ishu moja japo haikufanikiwa... gharama za ile tea na snacks haikufika hata buku 10
Njoo Granmelia na TGT utaelewa nisemacho
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Sio mbaya elf 60 tu unakula utakacho from mornn to evening.
Sasa hyo nayo hela. Mwanza nimelala laki 2 na 20 per day bado gharama za laundry ....... menu malaika ...Round moja ilikuwa inakuja laki na ushee na hapo napiga lunch na dinner... ndo 60 elfu Inishinde?? Come on??
 
Mbona mateso haya sa km ukua na pesa ya kutosha why umtoe mtu dinner au lunch makasiliko mengne huwa tunajitakia wenyewe

Unapomtoa mtu af tena unataka ale kle unataka ww sasa iyo ni dinar

Toa dina au lanchi mtu ukiwa umejipanga iwe unamtoa msela au KE sio chakula kinageuka kua karaha
 
Njoo Granmelia na TGT utaelewa nisemacho
Mkuu nkija arusha tutachafua mezaa
Uzuri sifanyi daily ni mara moja kwa miezi 3 😂😂😂😂
Tafuta any star hotel of ur choice
 
Ndicho kinacho fanyika

Umefika mtu anamuita muhudumu msikilize uyo mtu anaona jau wew unasema kuwa huru agiza unachojisikia unaagiza tena unakasilika tukueleweje
Hahahah hio kauli ya msikilize lazma iwe backed up na kadi ya ATM ambayo inq zaidi ya 1M incase unaenda viwanja vya ushuani.

Ila kama ni maeneo yetu ya uswahilini haya sijui kitambaa cheupe and shyt huko hata ka laki 4 kanatosha kuvimba.
 
Sasa hyo nayo hela. Mwanza nimelala laki 2 na 20 per day bado gharama za laundry ....... menu malaika ...Round moja ilikuwa inakuja laki na ushee na hapo napiga lunch na dinner... ndo 60 elfu Inishinde?? Come on??
Jeuri hiyo nzuri sana....subiria assist pm dadeq🤣🤣🤣🤣
Nzi wa kijani wanakuja
 
Una asili ya uchoyo au kwa lugha nzuri ubahilii
Mim nilialikwa na ccy Antonnia kaninunulia vinywaji na bado alikua anataka nile tatizo nikawa nmeshiba.
Na sijawai msikia alisema kitu.
Kuna watu humu ndani wako tofauti sana.
Ccy Antonnia Ile siku nilienjoy sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…