Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Una asili ya uchoyo au kwa lugha nzuri ubahiliiMimi ndo mana sjawah kua na dem hata kazini yani nikitoka lunch ninunue maji mawili pilau kuku mbiliiiii? NEVER
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una asili ya uchoyo au kwa lugha nzuri ubahiliiMimi ndo mana sjawah kua na dem hata kazini yani nikitoka lunch ninunue maji mawili pilau kuku mbiliiiii? NEVER
Kwani anayekualika lazima atoke jf?🤣🤣🤣🤣Aah me sitak kusema kweli.
Nije nianzishiwe uzi bure.
Kiburi hicho naomba uje nacho hapa Serena Hotel 🤣🤣🤣Ukiamua kukaa na mimi mahali asee nisipangiwe cha kutumia. Uzuri mimi huwa nabeba muamala wangu incase hauko poa nalipa..na pia huwa nakuuliza kama uko njema au uko vibaya nimalize shoo...
Kama tunashindana basi TubetiiiKiburi hicho naomba uje nacho hapa Serena Hotel 🤣🤣🤣
Wewe ni mdhaifu sana.
Mwanaume lazima uwe na kifua.
Yakikupata unapiga moyo konde unasonga mbele
🤣🤣🤣🤣🤣 Sio mbaya elf 60 tu unakula utakacho from mornn to evening.Kama tunashindana basi Tubetiii
Kwan hyo buffet hapo ni sh ngap?
Hata akiumwa walah atatoka tu🤣Anaweza akaumwa ghafla ukaskia will do it next time 🤣🤣🤣
Hapo kwenyewe nshapiga evening tea kuna Fogo moja wa serikali aliniita pale kuongea ishu moja japo haikufanikiwa... gharama za ile tea na snacks haikufika hata buku 10Nakadori hili bidada ni jeuri, umesoma matusi yake?🤣🤣🤣🤣
Nitamwalika Granmalia au TGT wanakoingia kwa kulipia nione jeuri yake🤣🤣🤣
Njoo Granmelia na TGT utaelewa nisemachoHapo kwenyewe nshapiga evening tea kuna Fogo moja wa serikali aliniita pale kuongea ishu moja japo haikufanikiwa... gharama za ile tea na snacks haikufika hata buku 10
Sasa hyo nayo hela. Mwanza nimelala laki 2 na 20 per day bado gharama za laundry ....... menu malaika ...Round moja ilikuwa inakuja laki na ushee na hapo napiga lunch na dinner... ndo 60 elfu Inishinde?? Come on??🤣🤣🤣🤣🤣 Sio mbaya elf 60 tu unakula utakacho from mornn to evening.
Mkuu nkija arusha tutachafua mezaaNjoo Granmelia na TGT utaelewa nisemacho
Hahahah hio kauli ya msikilize lazma iwe backed up na kadi ya ATM ambayo inq zaidi ya 1M incase unaenda viwanja vya ushuani.Ndicho kinacho fanyika
Umefika mtu anamuita muhudumu msikilize uyo mtu anaona jau wew unasema kuwa huru agiza unachojisikia unaagiza tena unakasilika tukueleweje
Jeuri hiyo nzuri sana....subiria assist pm dadeq🤣🤣🤣🤣Sasa hyo nayo hela. Mwanza nimelala laki 2 na 20 per day bado gharama za laundry ....... menu malaika ...Round moja ilikuwa inakuja laki na ushee na hapo napiga lunch na dinner... ndo 60 elfu Inishinde?? Come on??