Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Jeuri hiyo nzuri sana....subiria assist pm dadeq🀣🀣🀣🀣
Nzi wa kijani wanakuja
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Watajua wenyewe...
Ukiamua kujipa raha unajipa raha kisawa sawa....
Maana sio kila siku ni mara moja moja...
Sasa kazi unamfanyia nani jaman?
 
Sasa hyo nayo hela. Mwanza nimelala laki 2 na 20 per day bado gharama za laundry ....... menu malaika ...Round moja ilikuwa inakuja laki na ushee na hapo napiga lunch na dinner... ndo 60 elfu Inishinde?? Come on??
Hahahahah you talk a good game, kama una afford rotation za laki laki basi uko vizuri. Naweza nikakualika machimbo adimu.
 
Mkuu nkija arusha tutachafua mezaa
Uzuri sifanyi daily ni mara moja kwa miezi 3 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tafuta any star hotel of ur choice
Ar kuna vi lounge vingi vingi vya kijanja hutaboreka na sio lazima mahotel makubwa.
Arusha ni ndogo lkn sehemu za kula za kijanja nyingi mnoo.

Utachagua uchoke
 
Hahahahah you talk a good game, kama una afford rotation za laki laki basi uko vizuri. Naweza nikakualika machimbo adimu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Sio daily once in a while mkuu...
Nialike machimbo adimu mkuu nifunguke ufahamu
 
Mim nilialikwa na ccy Antonnia kaninunulia vinywaji na bado alikua anataka nile tatizo nikawa nmeshiba.
Na sijawai msikia alisema kitu.
Kuna watu humu ndani wako tofauti sana.
Ccy Antonnia Ile siku nilienjoy sana.
Umeona eehh kuna watu chakula ni kitu cha kupita tuu...wape watu wale halafu usahau maana hawawezi maliza gunia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Sio daily once in a while mkuu...
Nialike machimbo adimu mkuu nifunguke ufahamu
Ofcourse mara moja moja tu having fun sio mbaya.
 
Hahahahah you talk a good game, kama una afford rotation za laki laki basi uko vizuri. Naweza nikakualika machimbo adimu.
Fambaf umenusa fursa🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…