ππππππJeuri hiyo nzuri sana....subiria assist pm dadeqπ€£π€£π€£π€£
Nzi wa kijani wanakuja
Hahahahah you talk a good game, kama una afford rotation za laki laki basi uko vizuri. Naweza nikakualika machimbo adimu.Sasa hyo nayo hela. Mwanza nimelala laki 2 na 20 per day bado gharama za laundry ....... menu malaika ...Round moja ilikuwa inakuja laki na ushee na hapo napiga lunch na dinner... ndo 60 elfu Inishinde?? Come on??
Ar kuna vi lounge vingi vingi vya kijanja hutaboreka na sio lazima mahotel makubwa.Mkuu nkija arusha tutachafua mezaa
Uzuri sifanyi daily ni mara moja kwa miezi 3 ππππ
Tafuta any star hotel of ur choice
πππππ€£π€£π€£π€£Hahahahah you talk a good game, kama una afford rotation za laki laki basi uko vizuri. Naweza nikakualika machimbo adimu.
Ila usije hii Januari haha nimekwambia mapemaππππππ
Watajua wenyewe...
Ukiamua kujipa raha unajipa raha kisawa sawa....
Maana sio kila siku ni mara moja moja...
Sasa kazi unamfanyia nani jaman?
Umeona eehh kuna watu chakula ni kitu cha kupita tuu...wape watu wale halafu usahau maana hawawezi maliza gunia
Ofcourse mara moja moja tu having fun sio mbaya.πππππ€£π€£π€£π€£
Sio daily once in a while mkuu...
Nialike machimbo adimu mkuu nifunguke ufahamu
Nakuja moshi probably next week .... be ready πππIla usije hii Januari haha nimekwambia mapema
Fambaf umenusa fursaπ€£π€£π€£π€£π€£Hahahahah you talk a good game, kama una afford rotation za laki laki basi uko vizuri. Naweza nikakualika machimbo adimu.
Arusha kuna vi eneo amazingAr kuna vi lounge vingi vingi vya kijanja hutaboreka na sio lazima mahotel makubwa.
Arusha ni ndogo lkn sehemu za kula za kijanja nyingi mnoo.
Utachagua uchoke
hahaha sasa kumbe unazungumzia zama za pocket money πππYou are matured enough, tulikua teenager tunadate
HApo ulipo quote nimekupa angalizo...January no.Nakuja moshi probably next week .... be ready πππ
Umeona eehh kuna watu chakula ni kitu cha kupita tuu...wape watu wale halafu usahau maana hawawezi maliza gunia
Huu mji ukiwa na pesa ni mzuri sanaArusha kuna vi eneo amazing
Hahah huyu mzee wa 50 50 hakuna kitonga hapo...me mwenyewe kitonga big no.Fambaf umenusa fursaπ€£π€£π€£π€£π€£
Hahaha mtu analalamika mwenzie kuagiza nusu kuku wa kienyeji ....Kweli kabisa sio kama hawa kina Sadala ety ohhh ameagiza kuku me nmeagiza mchemsho wa dagaa
Neno pekee aliloweza kuandika kwa ufasaha ni "Balimi" ...Windock badala ya windhoek
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Neno pekee aliloweza kuandika kwa ufasaha ni "Balimi" ...
Sio kesi tukiinjoy na mtoto mzuri mwenye jax lake arif.Fambaf umenusa fursaπ€£π€£π€£π€£π€£