Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ila anasoma na kulia kimya kimya huko alikoHahahaaa. Huwa hajibu yaani akishawaachia bomu hivi anawaacha liwalipukie kama la machozi basi waliee weee mpaka tosha yao
kritika waitwa huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila anasoma na kulia kimya kimya huko alikoHahahaaa. Huwa hajibu yaani akishawaachia bomu hivi anawaacha liwalipukie kama la machozi basi waliee weee mpaka tosha yao
kritika waitwa huku.
Hahaaaa. Sidhani Mkuu.Ila anasoma na kulia kimya kimya huko aliko
Wacha weeh, swaiba naona unafurahia vidume wakipata shurba ya maneno ya kamanda.Hahahaaa. Ngoja niende mwaya.
"Wanaume watapata tabu sana"
Umemaliza kila kitu HajarHahaaa. Hii ni kali lol.
Hivyo vitakuwa ni vile vivulana lakini mwanaume anayejitambua hawezi ogea boksa ndio sababu walio wengi wanaendaga na pensi tu au taulo tu boksa wanaziacha ndani.
Na hapo hawakosi sijui ndio dodoki sijui mabrashi ya kujisugulia wakati wa kuoga.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] ila sio kwa kunifuma huku Swahiba.Wacha weeh, swaiba naona unafurahia vidume wakipata shurba ya maneno ya kamanda.
Mhhh!Hahahaaa. Ngoja niende mwaya.
"Wanaume watapata tabu sana"
Hahaha usihofu swaiba wala hata sijakuona nimekufananisha tu[emoji40] [emoji125][emoji85] [emoji85] [emoji85] ila sio kwa kunifuma huku Swahiba.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaa. Lol.Hahaha usihofu swaiba wala hata sijakuona nimekufananisha tu[emoji40] [emoji125]
Hebu tutolee ushuhuda ulioupata kwa umalaya wako vibwana vyako vina tabia za kitoto unahisi wanaume wote tupo kama haoKwanini wanaume wa sikuhizi mkioga wanajisugulia boxer???
Hiv mmepatwa na nini nyie lakini[emoji23] [emoji23]
Hahaha acha wammis tu hakuna tatizo, ila swaiba kumbe una mkono wa birika namna hiyo umeenda Kenya umerudi hujaniletea hata kazawadi[emoji12]Hahahaa. Lol.
Ila kule Kenya wenyewe walisema wanammiss ujue.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaa. Wala sina mkono wa birika Swahiba na zawadi bado zipo mbona hivyo wala usijali baadae nitakupitishia. [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hahaha acha wammis tu hakuna tatizo, ila swaiba kumbe una mkono wa birika namna hiyo umeenda Kenya umerudi hujaniletea hata kazawadi[emoji12]
Ewaah, haya ndo maneno swaiba, naisubiri kwa hamu.Hahahaa. Wala sina mkono wa birika Swahiba na zawadi bado zipo mbona hivyo wala usijali baadae nitakupitishia. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Wanaume wa dar hao. Pole kwa kukutana naoKwanini wanaume wa sikuhizi mkioga wanajisugulia boxer???
Hiv mmepatwa na nini nyie lakini[emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] duuHako kabwana kako kacheza singeri kana fanya huo upuuxi badala ya kukambia kenyewe unakuja kutujumuisha na sie.
Yaani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] comment zingine tutakuja kuuana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anawasha moto kisha yeye anakaa pembeni anawatizama mnavyo hangaika na madumu na mipira yakuzimia moto[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]Hahaha hapo ndio ninapompendea kritika
Nimefika huko hapana [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sijui hao waliokuwa na ndevu au bado hazijaanza kuchipua [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dada kanipa maneno mazito sana kuhusu wanaume