Mnasema nawachukia lakini mnajitakia

Mnasema nawachukia lakini mnajitakia

Hahaaa. Hii ni kali lol.

Hivyo vitakuwa ni vile vivulana lakini mwanaume anayejitambua hawezi ogea boksa ndio sababu walio wengi wanaendaga na pensi tu au taulo tu boksa wanaziacha ndani.

Na hapo hawakosi sijui ndio dodoki sijui mabrashi ya kujisugulia wakati wa kuoga.
Umemaliza kila kitu Hajar
 
Kwanini wanaume wa sikuhizi mkioga wanajisugulia boxer???
Hiv mmepatwa na nini nyie lakini[emoji23] [emoji23]
Hebu tutolee ushuhuda ulioupata kwa umalaya wako vibwana vyako vina tabia za kitoto unahisi wanaume wote tupo kama hao
 
Hahahaa. Lol.

Ila kule Kenya wenyewe walisema wanammiss ujue.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha acha wammis tu hakuna tatizo, ila swaiba kumbe una mkono wa birika namna hiyo umeenda Kenya umerudi hujaniletea hata kazawadi[emoji12]
 
Kwahiyo wewe unadhani tabia ya jamaa yako ndio kila mwanaume anayo?, siku akikojoa kitandani utakuja kusema hapa" nyie wanaume kwanini mnakojia kitandani "
 
Hahaha hapo ndio ninapompendea kritika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anawasha moto kisha yeye anakaa pembeni anawatizama mnavyo hangaika na madumu na mipira yakuzimia moto[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
Back
Top Bottom