Mnasema nawachukia lakini mnajitakia

Mnasema nawachukia lakini mnajitakia

Kwanini wanaume wa sikuhizi mkioga wanajisugulia boxer???
Hiv mmepatwa na nini nyie lakini[emoji23] [emoji23]
Umejuaje ?
Afu hiyo tabia yako ya ku date na vitoto vya o level afu tabia zao unatufananisha na sisi ukome

(Sijatoka povu)
 
Nipo hapa kusoma comments [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaa. Hii ni kali lol.

Hivyo vitakuwa ni vile vivulana lakini mwanaume anayejitambua hawezi ogea boksa ndio sababu walio wengi wanaendaga na pensi tu au taulo tu boksa wanaziacha ndani.

Na hapo hawakosi sijui ndio dodoki sijui mabrashi ya kujisugulia wakati wa kuoga.
brashi!!! kusugua ngozi au ni nn?
 
Una umri gani?
Maana naona umeandika wanaume badala ya "wavulana"
 
Hako kabwana kako kacheza singeri kana fanya huo upuuxi badala ya kukambia kenyewe unakuja kutujumuisha na sie.
Humu kuna watu mnavipaji aseee

Yani akisoma hii komenti sidhani kama atarudi kuuchungulia uzi wake aseee
 
Back
Top Bottom