Mbona mkuu umekuwa mkali sana awamu hii. Wakati wa rafiki yako ukipongeza hata Lissu aliposhambulia ulifanya sherehe. Tatizo nini hasa?Kawaida ni kawaida tu haiwezi kuwa kawaida kawaida nyingine wakati ni kawaida ileile....mchezo wa Bumbuli wapo hausahauliki...kurudisha zile fomu...
Ha Ha. Narudia, wewe umenga'ang'ania uchaguzi haukufanyika, na mimi nakwambia Ulifanyika.Kwanza mimi siyo CHADEMA, soma threads zangu huko nyuma utaniona. Mimi ni Mtanzania neutral, CCM ikiharibu nakosoa na UPINZANI ukikosea pia nakosoa.
Kama unadhani mwaka 2020 kukikuwa uchaguzi basi inabidi aidha upelekwe Mirembe Mental Hospital au ukaombewe na wanaopunga mapepo.
Hayo ya wao kujifanya CHADEMA sijawahi kuyasikia. Na wala haitoi picha ya nini kiliendelea 2020-Kwanini hujiulizi ni kwanini CHADEMA imekubali ruzuku za Uchaguzi? Na wao wapelekwe Mirembe-mapepo wanayo.Hivi hata hiyo issue ya wabunge 19 wanaojifanya ni wa CHADEMA bungeni haikupi picha ni nini kikiendelea kwenye uchaguzi wa 2020??
Hayati Rais Magufuli alikwepo huko mbweni? Kama huna jibu la maana stfupKama hujui ndiyo nimekujuza hivyo; ballot papers zilichapiwa Jamana Prrinters na kikosi maalum cha ku tiki kiliweka kambi TII College Mbweni.
Sasa ulishindwa nini kuelezea hivyo badala ya kuja na lugha za kupotosha? Kwa lengo gani?Ma DSO na ma DED walipewa maelekezo tu ya kura za kutamka
Avunje hilo bunge kwa bajeti gani aliyo nayo? Maisha ni hadithi, udhalimu ndio hadithi ya Magufuli. Mtume na Yesu walikufa miaka mingi, mbona Bado wanaongelewa?Rais aliyepo madaraka angelikuwa mwema kuliko Magufuli angevunja hilo bunge lililowekwa kwa ubaya.
Acha ujinga ndugu kwa kumlaumu hayati huku ukiwaacha wahuni walio hai wakikukausha damu.
🙏Kumbebesha hayati madhambi ya wahuni ndiyo hoja kuu.
Hao wahuni sio wafu bali wapo hai na wanaendelea kula mema ya nchi.
Wajinga wanabweka asubuhi mchana jioni na hata usiku kwa kuungana na wahuni kulaumu utawala wa mfu 😂😂
Hao ndio wabongo halisi, wapumbavu tu na malofa ndio wanaoweza kumlaumu mfu na kumwacha aliye hai aendelee kuwakausha damu.
Bila shaka hata wewe ni miongoni mwao.
🤣 🤣 🤣Hakika leo umeandika jambo kubwa na linaumiza sana!!
Eti kabla ya 2015 Kinana na CHAWA wake Zitto wanataka kutuaminisha kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa Haki!!
Wakati mwingine najiuliza hawa wahuni wanaoitafuna nchi usiku na mchana ni kweli wanaweza kutengeneza mifumo mizuri ili wengine waweze kutawala? Jibu ni kwamba HAPANA
KOSA kubwa la Magufuli labda tuseme ninkukataa kuwasikiliza hawa wezi!!
Nani asiyeujua ufisadi wa Kinana na genge lake!? Nani asiyeujua ufisadi na udalali wa Januari na wahuni wenzake? Januari katoa wapi pesa za kuhonga gari ya Milioni 500 baada tu ya Magufuli kufa?
Mzee Mwanakijiji Leo umenena jambo zito sana!!
Mwisho niwatahadhalishe vyama vya siasa kwamba, Kinana ni yule yule, JK ni yule yule, Mbowe ni yule yule, Januari na Rostam ni wale wale..... Hawa wote HAWAJASHIBA hata wakuandalieni uchaguzi huru na wa Haki.
Hawa wazalendo wameuza Bandari, wameuza Mbuga zetu, wanahujumu mradi wa Umeme n.k.!!! Tuendelee kuwapigia makofi ili watuuze na sisi
Mahaba yana taabu! 🤣 🤣 🤣Hakika wewe mkuu ndio umeelewa mada inalenga nini.
Ila kuna mijitu humu ndani inajibu kwa mihemko pasi na facts zozote.
Hao wote wanaosemea kuhusu Magufuli walitibuliwa maslahi yao kipindi Magufuli yupo hai.
Hao wanaomsema Magufuli ndio wanafiki hakuna,kazi yao kuwakaririsha raia mapambio ya kuwasifu kuwa wao ni bora kuliko marehemu.
Halafu badala raia kuenda kinyume na hii kitu mtu anashadadia na kushupalia.
Kwa mentality hii aisee hili taifa halitakua kamwe na mageuzi ya kisiasa.
Huo ndio ukweli , watarudi hapa kulalamika Tena na kumkumbuka ShujaaMkuu naona ujumbe wako kama wa Kinana majuzi umewalenga zaidi wenyeviti, madiwani na wabunge, maana wajumbe wananoa visu tu, wakisubiri wafanye yao! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nani kakuambia bajeti haipo? Ni hivi CCM inanufaika na udhalimu haijalishi nani kafanyaHiyo bajeti haipo, lakini kwa wanaccm wote na wapenda haki wanajua siasa za magu zilikuwa za kishenzi.
Hakika leo umeandika jambo kubwa na linaumiza sana!!
Eti kabla ya 2015 Kinana na CHAWA wake Zitto wanataka kutuaminisha kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa Haki!!
Wakati mwingine najiuliza hawa wahuni wanaoitafuna nchi usiku na mchana ni kweli wanaweza kutengeneza mifumo mizuri ili wengine waweze kutawala? Jibu ni kwamba HAPANA
KOSA kubwa la Magufuli labda tuseme ninkukataa kuwasikiliza hawa wezi!!
Nani asiyeujua ufisadi wa Kinana na genge lake!? Nani asiyeujua ufisadi na udalali wa Januari na wahuni wenzake? Januari katoa wapi pesa za kuhonga gari ya Milioni 500 baada tu ya Magufuli kufa?
Mzee Mwanakijiji Leo umenena jambo zito sana!!
Mwisho niwatahadhalishe vyama vya siasa kwamba, Kinana ni yule yule, JK ni yule yule, Mbowe ni yule yule, Januari na Rostam ni wale wale..... Hawa wote HAWAJASHIBA hata wakuandalieni uchaguzi huru na wa Haki.
Hawa wazalendo wameuza Bandari, wameuza Mbuga zetu, wanahujumu mradi wa Umeme n.k.!!! Tuendelee kuwapigia makofi ili watuuze na sisi
Mungu hawezi kumchukua mtu kibri kama yule anayetaka hadi kumpangia Mungu majukumu yakuongoza malaika, atakuwa kachukuliwa na upande mwingine..ukatili wa Magufuli ulianza alipoingia madarakani, na uliendelea mpaka MUNGU alipomchukua.
Serekare sometimes siooo kabisa lo. Acha Mambo yake tuiachie yenyewe
Tuna wadau wa kupambana na After the Fact...., Badala ya kulaumu yanayotendeka sasa wanadeal na yaliyopita..., Tungonjee miaka kumi ijayo ili tuje tulaumu yatakayotokea miaka mitana ijayo
Two wrongs?Hivi mnataka tuamini kuwa Uchaguzi Tanzania miaka yote ulikuwa unafanyika vizuri, kwa Amani, na bila makadokado ya Chama tawala na wapambe wake? Kwamba kufika 2015 mambo yakaharibika? Yaani, tuamini JPM na timu yake walivuruga uchaguzi ili washinde 2015? Kabla ya hapo mambo yalikuwa powa.
Mmesahau kabisa yaliyotokea 2010?
Arumeru Mashariki
Nyamagana
Igunga
Nzega
Mbeya Mjini
Arusha Mjini
Tarime
Ubungo
Kilombero
Bumbuli
Na kuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yalivyodaiwa kupikwa na kundi la vijana waliofadhiliwa data center kumanipulate data za Tume?
Au mmesahau jinsi vyombo vya Habari vilivyokatazwa kutangaza matokeo ya Urais kama yalivyo majimboni...
Najibiwa...
Mwanakijiji wewe ni sukuma gang...uchaguzi wa 2015 ndio JPM aliuharibu wa 2010 was the best election ever!!
Nawajibu
Hakuna mwaka Tanzania ilishuhudia damu kumwagika kwenye uchaguzi ili kuhakikisha utawala unabakia madarakani kama 2010. That's a fact not an opinion.
Nawauliza:
Nani alimwaga damu kuelekea uchaguzi wa 2020 au siku ya uchaguzi?
Hivi Hayati Mohamed Mtoi alikuwa anatarajiwa kugombea Jimbo gani?
Narudi tena, mwaka 2020 hakukuwa na uchaguzi mkuu kwa kuwa Magufuli aliuharibu kwa kutengeneza matokeò yake ķila jimbo na kisha kiwapa DSOs na DED kuyatangaza.Ha Ha. Narudia, wewe umenga'ang'ania uchaguzi haukufanyika, na mimi nakwambia Ulifanyika.
Sasa kama unataka kusema kwamba kati yangu na wasimamizi wa Kimataifa tuliona Uchaguzi umefanyika na wewe ndio Unakataa, sijui unapata wapi hiyo nye nye nye yako. Unatakiwa wewe ndie uende huko ukapimwe.
Hayo ya wao kujifanya CHADEMA sijawahi kuyasikia. Na wala haitoi picha ya nini kiliendelea 2020-Kwanini hujiulizi ni kwanini CHADEMA imekubali ruzuku za Uchaguzi? Na wao wapelekwe Mirembe-mapepo wanayo.
Hayati Rais Magufuli alikwepo huko mbweni? Kama huna jibu la maana stfup
Sasa ulishindwa nini kuelezea hivyo badala ya kuja na lugha za kupotosha? Kwa lengo gani?
Stuxne, usinilishe maneno.
Kama bajeti ipo, mshinikizeni afute huo uchaguzi. Ni wapi Mimi nimeonyesha kuwa na imani na huyo Samia, au kuamini hizo hadaa zake? Ninachojua Samia Hana siasa za kipuuzi kama dhalimu Magufuli fullstop.Nani kakuambia bajeti haipo? Ni hivi CCM inanufaika na udhalimu haijalishi nani kafanya
JPM alikuwa si mnafiki alitaka mzinduke lakini akili zenu zimelala mnaamini mtapata ahuenj kupitia Samia , nyie ni wapuuzi sana
Ni kipi ameandika kisichoeleweka hapo ww, nimemjibu ninavyotaka Mimi, sio unavyotaka ww. Kama ulikuwa unamuona Magufuli ni kiongozi Bora, Kuna walioona Kaburu Pieter Botha alikuwa mzuri na mzalendo kwa nchi yake.MSome jamaa na ujisome tena ulichoandika.
Soma kwa uelewa nakusisitiza.
Magufuli hakuwa kiumbe cha Mungu bali alikuwa kiumbe cha shetani,muuaji,jambazi na mnyang'anyi!Kwangu Mimi issue sio uchaguzi.
Kwangu mimi ni watu kuwa busy kupambana na Marehemu huku wameacha majukumu yao ya msingi ya ujenzi wa Taifa.
Marehemu alifanya yake, Mwenyezi Mungu kachukua kiumbe chake, tunachotaka kuona kwao ni suluhu ya matatizo lukuki yanayowakabili Watanzania na nchi Kwa ujumla.