Mnatizama lakini CNN Mahojiano ya moja kwa moja ya Mgombea Urais wa Marekani Trump na Waandishi wa Habari Weusi huko Chicago?

Mnatizama lakini CNN Mahojiano ya moja kwa moja ya Mgombea Urais wa Marekani Trump na Waandishi wa Habari Weusi huko Chicago?

Mkiambiwa Waafrika tuungane tulijenge Bara letu, kwani Wazungu huwa hawatupendi hatusikii na tunawapenda tu.
Umenifanya niangalie mwanzo wa hii interview, mbona sijaona mahali Trump amezingua? In fact huyu mdada wa kwanza ndo anazingua hajibu salamu na anauliza in a very harsh way but Trump being Trump he gave her what she deserved.
 
Umenifanya niangalie mwanzo wa hii interview, mbona sijaona mahali Trump amezingua? In fact huyu mdada wa kwanza ndo anazingua hajibu salamu na anauliza in a very harsh way but Trump being Trump he gave her what she deserved.

..Donald Trump ni tapeli, mwizi, na mbaguzi.

..huyu bwana amewapa sauti, na kuwainua Wamarekani weupe wabaguzi.

..Trump anataka kuirudisha Marekani ktk zama za ubaguzi za miaka ya 50 na 60.
 
..Donald Trump ni tapeli, mwizi, na mbaguzi.

..huyu bwana amewapa sauti, na kuwainua Wamarekani weupe wabaguzi.

..Trump anataka kuirudisha Marekani ktk zama za ubaguzi za miaka ya 50 na 60. Maana watu mna version yenu.zenu za Trumps mifukoni
Unamuongelea Trump yupi? Maana kuna watu mna versions zenu za Trumps mifukoni na kwenye simu zenu
 
Unamuongelea Trump yupi? Maana kuna watu mna versions zenu za Trumps mifukoni ma kwenye simu zenu

..Trump ni mhuni tu ambaye amefanikiwa kuwapumbaza Wamarekani weupe wabaguzi.

..Marekani baada ya kumchagua Obama ilikuwa inaondoka ktk chuki za ubaguzi lakini Trump ameingia na kuirudisha nyuma Marekani.

..pia Trump ni muongo kwa kuendelea kudai kwamba aliibiwa uchaguzi iliyopita.

..Madai ya Trump kuwa aliibiwa uchaguzi yamekanushwa hata na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wake.

..Marekani inahitaji kiongozi atakaye waunganisha wananchi wake wote, bila kujali rangi zao. Badala ya Trump anayechochea ubaguzi baina ya Wamarekani.
 
..Trump ni mhuni tu ambaye limefanikiwa kuwapumbaza Wamarekani weupe wabaguzi.

..Marekani baada ya kumchagua Obama ilikuwa inaondoka ktk chuki za ubaguzi lakini Trump ameingia na kuirudisha nyuma Marekani.

..pia Trump ni muongo kwa kuendelea kudai kwamba aliibiwa uchaguzi iliyopita.

..Madai ya Trump kuwa aliibiwa uchaguzi yamekanushwa hata na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wake.

..Marekani inahitaji kiongozi atakaye waunganisha wananchi wake wote, bila kujali rangi zao. Badala ya Trump anayechochea ubaguzi baina ya Wamarekani.
Wapi trump alionesha ubaguzi kwa watu weusi ?
 
Wapi trump alionesha ubaguzi kwa watu weusi ?

..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.

..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.

..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.

..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
 
..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.

..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.

..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.

..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
Bado ni hoja za kitoto sana.

Mimi nimemsikiliza trump kwenye clip zake kibao ni mtu ana madini sana.

Kuwaponda watu weusi haujaweka ushahidi wa kutosha bali unadokoa tu.

Lakini pia kuita Afrika shit hole kama alikuwa na hoja za msingi yuko sahihi kabisa na mimi nitamuunga mkono hoja muhimu tu usimlishe maneno.

Bado sijaona hoja za msingi za kumuita trump mbaguzi maana hausemi.
 
Bado ni hoja za kitoto sana.

Mimi nimemsikiliza trump kwenye clip zake kibao ni mtu ana madini sana.

Kuwaponda watu weusi haujaweka ushahidi wa kutosha bali unadokoa tu.

Lakini pia kuita Afrika shit hole kama alikuwa na hoja za msingi yuko sahihi kabisa na mimi nitamuunga mkono hoja muhimu tu usimlishe maneno.

Bado sijaona hoja za msingi za kumuita trump mbaguzi maana hausemi.

..vipi kuhusu madai yake kwamba aliibiwa uchaguzi?

..mahakama mbalimbali zimetupilia mbali madai hayo lakini bado Trump ameendelea kudai ameibiwa uchaguzi.

..vipi kuhusu utapeli aliofanya ktk biashara zake kabla ya kuwa Raisi? Unakumbuka jinsi alivyotapeli fedha za watu ktk mradi wake wa " Trump University "?

..Mtu mwenye kashfa za utapeli na udanganyifu wa kiwango cha Trump hakupaswa kushika nafasi ya uongozi, sembuse Uraisi wa Marekani.

..Wamarekani wako disappointed na serikali na wanasiasa wao, lakini Donald Trump sio mtu sahihi kwa muelekeo ambao Marekani inapaswa kuuchukua.
 
Bado ni hoja za kitoto sana.

Mimi nimemsikiliza trump kwenye clip zake kibao ni mtu ana madini sana.

Kuwaponda watu weusi haujaweka ushahidi wa kutosha bali unadokoa tu.

Lakini pia kuita Afrika shit hole kama alikuwa na hoja za msingi yuko sahihi kabisa na mimi nitamuunga mkono hoja muhimu tu usimlishe maneno.

Bado sijaona hoja za msingi za kumuita trump mbaguzi maana hausemi.


..Trump angekuwa sio mbaguzi angefanya mojawapo kati ya haya.

1. Angechagua VP mwanamke.

2. Angechagua VP mwenye asili ya Kilatino.

3. Angechagua VP mmarekani mweusi.

..Ticket ya Uraisi wa Marekani inatakiwa itume ujumbe wa kuwaunganisha Wamarekani, na sio ujumbe kwamba Marekani ni nchi ya wanaume weupe wenye chuki na wabaguzi.
 
..vipi kuhusu madai yake kwamba aliibiwa uchaguzi
Hata huku kwetu viongozi wa upinzani huws na madai ya kuibiwa kura,madai hayo yanabaki ni maoni yao binafsi hasa yanapokuwa hayana uthibitisho na wala madai hayo hayatupi sisi concludion ya kwamba watu hao ni wabaguzi.
mahakama mbalimbali zimetupilia mbali madai hayo lakini bado Trump ameendelea kudai ameibiwa uchaguzi.
Madai yake hayo hayana mahusiano na ubaguzi unaoudai.
vipi kuhusu utapeli aliofanya ktk biashara zake kabla ya kuwa Raisi?
Waliompa kura akawa raisi hawakuona utapeli huo mpaka wampe kura na wewe ndio huo utapeli umeuona kuliko waliompa kura?
ipi kuhusu utapeli aliofanya ktk biashara zake kabla ya kuwa Raisi? Unakumbuka jinsi alivyotapeli fedha za watu ktk mradi wake wa " Trump University "?
KWA NINI walimpa kura akawa raisi wakati wanajua ni tapeli ?

Je utapeli huo aliwatapeli watu weusi pekee hawakuwepo wazungu ?

Kuna mahusiano gani kati ya utapeli na ubaguzi ?
Mtu mwenye kashfa za utapeli na udanganyifu wa kiwango cha Trump hakupaswa kushika nafasi ya uongozi, sembuse Uraisi wa Marekani.
Kwa nini skawa raisi wa marekani licha ya utapeli huo,au wamarekani hawamjui badala yake wewe ndo unamjua zaidi trump ?
 
Hata huku kwetu viongozi wa upinzani huws na madai ya kuibiwa kura,madai hayo yanabaki ni maoni yao binafsi hasa yanapokuwa hayana uthibitisho na wala madai hayo hayatupi sisi concludion ya kwamba watu hao ni wabaguzi.

Madai yake hayo hayana mahusiano na ubaguzi unaoudai.

Waliompa kura akawa raisi hawakuona utapeli huo mpaka wampe kura na wewe ndio huo utapeli umeuona kuliko waliompa kura?

KWA NINI walimpa kura akawa raisi wakati wanajua ni tapeli ?

Je utapeli huo aliwatapeli watu weusi pekee hawakuwepo wazungu ?

Kuna mahusiano gani kati ya utapeli na ubaguzi ?

Kwa nini skawa raisi wa marekani licha ya utapeli huo,au wamarekani hawamjui badala yake wewe ndo unamjua zaidi trump ?

..Donald Trump na watu wake walichallenge matokeo ktk vyombo husika na madai yao yalitupiliwa mbali.

..hata aliyekuwa Mwanasheria Mkuu ktk serikali ya Donald Trump amesisitiza mara kadhaa kwamba madai kuwa Trump aliibiwa uchaguzi sio ya kweli.

..pamoja na ukweli huo bado Trump aliwashawishi wafuasi wake wakafanye fujo ili bunge la Marekani lisithibitishe matokeo ya ushindi wa Joe Biden.

..mpaka hapo utaona kwamba Donald Trump ni mwanasiasa muongo na mchochezi.

..Kuhusu UTAPELI wa Donald Trump naomba nikukumbushe kuhusu mradi wake wa " Trump University . "

..Je, unakumbuka nini kilitokea kwa wananchi wa kawaida waliojiunga na Trump University?

..Unakumbuka Senator Marco Rubio alisema nini kuhusu Donald Trump na hiyo " university "?

..Wamarekani walikuwa disappointed na political class na walitaka mabadiliko. Tatizo waliyatafuta mabadiliko kwa Donald Trump mtu ambaye hakuwa sahihi. Wamarekani walikuwa too disappointed na viongozi wao / wanasiasa kiasi kwamba walikuwa tayari kufumbia macho mapungufu ya kimaadili ya Donald Trump.

..Sikiliza hapa chini. Donald Trump ni tapeli. Ni bahati mbaya na aibu kwamba alichaguliwa kuwa Raisi. Wakati mwingine wapigakura hufanya MAKOSA.

View: https://m.youtube.com/watch?v=K00ZFy7XM2Q&pp=ygUeTWFyY28gUnViaW8gKyBUcnVtcCBVbml2ZXJzaXR5
 
Back
Top Bottom