Mnatizama lakini CNN Mahojiano ya moja kwa moja ya Mgombea Urais wa Marekani Trump na Waandishi wa Habari Weusi huko Chicago?

Mnatizama lakini CNN Mahojiano ya moja kwa moja ya Mgombea Urais wa Marekani Trump na Waandishi wa Habari Weusi huko Chicago?

..Trump angekuwa sio mbaguzi angefanya mojawapo kati ya haya.

1. Angechagua VP mwanamke.

2. Angechagua VP mwenye asili ya Latino.

3. Angechagua VP mmarekani mweusi.

..Ticket ya Uraisi wa Marekani inatakiwa itume ujumbe wa kuwaunganisha Wamarekani, na sio ujumbe kwamba Marekani ni nchi ya wanaume weupe wenye chuki na wabaguzi.
Rudi Tanganyika tuijenge nchi yetu!!

Acha ulowezi wako huko
 
..Donald Trump ni tapeli, mwizi, na mbaguzi.

..huyu bwana amewapa sauti, na kuwainua Wamarekani weupe wabaguzi.

..Trump anataka kuirudisha Marekani ktk zama za ubaguzi za miaka ya 50 na 60.
Bila ubaguzi hakuna Ubepari duniani.
Ubepari ni zao la ubaguzi.
Bila ubaguzi hakuna Demokrasia .
Bila ubaguzi hakuna Ugaidi.
Bila ubaguzi hakuna Uislam na uRoma na Ubuza ,uzayuni ,uyahudi n.k.
Bila ubaguzi hakuna siasa.
Bila ubaguzi hakuna vita .
Bila ubaguzi hakuna ukabila.
Bila ubaguzi hakuna dola na shilingi.
Bila ubaguzi hakuna maskini na tajiri.
Bila ubaguzi hakuna ukabila.
Bila ubaguzi hakuna uzungu,uarabu ,uafrika na uchina.
Bila ubaguzi hakuna ufupi na urefu,unene na wembamba n.k.
Bila ubaguzi hakuna tamaa.
Bila ubaguzi hakuna kuuana.
Bila ubaguzi hakuna kulogana.
Bila ubaguzi hakuna ushetani.
Bila ubaguzi hakuna ubaya.
Bila ubaguzi hakuna usomi.
Bila ubaguzi hakuna neno haki za wanawake bali ni haki za binadamu.
Bila ubaguzi hakuna magereza.
Bila ubaguzi hakuna umaskini.
Bila ubaguzi hakuna uchaguzi.
Bila ubaguzi hakuna CCM.
Bila ubaguzi hakuna wizi wa kura.
Bila ubaguzi hakuna ufisadi.
Bila Ubaguzi hakuna serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ingekua ni serikali moja.
Bila ubaguzi hakuna vurugu za wakulima na wafugaji.
Bila ubaguzi hakuna kuwahamisha wamasai Loliondo na kuwaacha Waarabu ,wangebaki pamoja.
Siasa za Dunia ni siasa za kibaguzi ama kati ya Watawala na watawaliwa au vyama na vyama,au dini na dini au nchi na nchi au matajiri na maskini.
Bila ubaguzi hakuna nichagueni mimi ni rais Mwanamke. Ni Mwanamke mwenzenu ,ni mama yenu.
Bila ubaguzi hakuba tofauti kuuuubwa ya mishahara ya watumishi wa umma.
Bila ubaguzi hakuna misafara ya magari mia moja ya msafara wa raisi kuzindua vyoo vya mashimo na kisima cha maji wakati Mungu aliyeumba Chemchem ya Zamzam hakuja hata kuiangalia na msururu wa Malaika.
Bila Ubaguzi hakuna neno "Mheshimiwa".
Bila ubaguzi hakuna madaraja ya wasomi. Dr.,Profesa n.k.
Bila ubaguzi ubaguzi hakuna ushindani.
Bila ubaguzi hakuna Passport.
Bila ubaguzi hakuna viza.
Bila ubaguzi hakuna Miji mitakatifu na isiyo mitakatifu.(Maka ,madina,Yerusalemu,Vatikani)
Bila ubaguzi hakuna kuteka watu na biashara ya kuuza binadamu.

Ubaguzi ni tafsiri ya maendeleo katika ubepari ,ukoloni na ukoloni mambo leo.
Ubaguzi ni mzazi wa utumwa, ubepari.
Ubepari ni unyama.
Ubaguzi ni ushindi kwa Mabepari(Wazungu na Waarabu na wahindi) dhidi ya umoja wa Waafrika.

Wazungu ,waarabu na wahindi ni wazazi wa ubaguzi duniani.
Kukataa uzungu na uarabu ni kukataa ubaguzi Duniani.
 
Hata huku kwetu viongozi wa upinzani huws na madai ya kuibiwa kura,madai hayo yanabaki ni maoni yao binafsi hasa yanapokuwa hayana uthibitisho na wala madai hayo hayatupi sisi concludion ya kwamba watu hao ni wabaguzi.

Madai yake hayo hayana mahusiano na ubaguzi unaoudai.

Waliompa kura akawa raisi hawakuona utapeli huo mpaka wampe kura na wewe ndio huo utapeli umeuona kuliko waliompa kura?

KWA NINI walimpa kura akawa raisi wakati wanajua ni tapeli ?

Je utapeli huo aliwatapeli watu weusi pekee hawakuwepo wazungu ?

Kuna mahusiano gani kati ya utapeli na ubaguzi ?

Kwa nini skawa raisi wa marekani licha ya utapeli huo,au wamarekani hawamjui badala yake wewe ndo unamjua zaidi trump ?

Wamarekani weusi wanataka kuishi marekani kijanja kijanja tu bila kuwa na mfumo maalumu. Wanataka kubaka ,kupiga watu kwa vitu vidogo tu, kunyanganya watu kwa maguvu, kuonyesha ubabe, kuwa na haki ya kuvunja sheria ,kuwa na haki ya kufanya wanachotaka bila kutii sheria. Akitaka Demu mzungu basi amkubali tu au ambake na akikataliwa anaona anabaguliwa.
Wamarekani Weusi wanataka waishi bila utaratibu. Mfano akivunja sheria au kutuhumiwa tu hataki kukamatwa na polisi kwa hiyari mpaka nguvu itumike. Na isipotumika nguvu hawezi kukalatwa mana hakubali kamwe hata kama amefanya kosa hadharani. Hali hii inasababisha watu wastarabu wawachukie waafrika wote kumbe tatizo ni wale Wamarekani weusi na sio waafrika.
Waafrika wa bara la Afrika ni wastarabu sana.
Wamarekani Weusi wamerithi ubaya wa Wakoloni (Mabepari)
 
Bado ni hoja za kitoto sana.

Mimi nimemsikiliza trump kwenye clip zake kibao ni mtu ana madini sana.

Kuwaponda watu weusi haujaweka ushahidi wa kutosha bali unadokoa tu.

Lakini pia kuita Afrika shit hole kama alikuwa na hoja za msingi yuko sahihi kabisa na mimi nitamuunga mkono hoja muhimu tu usimlishe maneno.

Bado sijaona hoja za msingi za kumuita trump mbaguzi maana hausemi.
Umeshawahi kuishi marekani?
 
..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.

..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.

..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.

..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
Kwani nchi za kiafrika sio shithole ?
 
..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.

..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.

..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.

..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
HAO MWEUSI SI WARUDI MAKWAO KAMA WANABAGULIWA? HUKO SI WALIENDA KWAAJILI YA MISSION MUBASHARA YA UTUMWA?? KAZI ZAO TAYARI WAMEZIFANYA WARUDI SASA MAKWAO
 
..Trump ni mhuni tu ambaye amefanikiwa kuwapumbaza Wamarekani weupe wabaguzi.

..Marekani baada ya kumchagua Obama ilikuwa inaondoka ktk chuki za ubaguzi lakini Trump ameingia na kuirudisha nyuma Marekani.

..pia Trump ni muongo kwa kuendelea kudai kwamba aliibiwa uchaguzi iliyopita.

..Madai ya Trump kuwa aliibiwa uchaguzi yamekanushwa hata na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wake.

..Marekani inahitaji kiongozi atakaye waunganisha wananchi wake wote, bila kujali rangi zao. Badala ya Trump anayechochea ubaguzi baina ya Wamarekani.


Hayo ni maoni yako ambayo yanaweza kuwa sahihi au sio sahihi, Kwa kuwa ni Rais wa Marekani, acha wamarekani wachague Rais wanaemtaka.
 
..Trump ni mhuni tu ambaye amefanikiwa kuwapumbaza Wamarekani weupe wabaguzi.

..Marekani baada ya kumchagua Obama ilikuwa inaondoka ktk chuki za ubaguzi lakini Trump ameingia na kuirudisha nyuma Marekani.

..pia Trump ni muongo kwa kuendelea kudai kwamba aliibiwa uchaguzi iliyopita.

..Madai ya Trump kuwa aliibiwa uchaguzi yamekanushwa hata na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wake.

..Marekani inahitaji kiongozi atakaye waunganisha wananchi wake wote, bila kujali rangi zao. Badala ya Trump anayechochea ubaguzi baina ya Wamarekani.
Acheni kujikombakomba kwa weupe.

Jengeni kwenu nyie malimbukeni. Ukitaka kujua ngozi nyeusi haina akili, angalia namna mtanzania akienda huko kwa weupe anavyojibehave. Mfano ni Kiranga namna anavyotusumbua humu kisa tu anaogesha vikongwe vyankizungu huko USA.

Rudini kwenu nyie weusi.
 
Acheni kujikombakomba kwa weupe.

Jengeni kwenu nyie malimbukeni. Ukitaka kujua ngozi nyeusi haina akili, angalia namna mtanzania akienda huko kwa weupe anavyojibehave. Mfano ni Kiranga namna anavyotusumbua humu kisa tu anaogesha vikongwe vyankizungu huko USA.

Rudini kwenu nyie weusi.

..siasa kwangu ni hobby kama ambavyo wengine wanapenda mpira wa miguu. ninajadili siasa za tanzania na za mataifa mengine nikiwa ktk ardhi ya tanzania.
 
..vipi kuhusu madai yake kwamba aliibiwa uchaguzi?

..mahakama mbalimbali zimetupilia mbali madai hayo lakini bado Trump ameendelea kudai ameibiwa uchaguzi.

..vipi kuhusu utapeli aliofanya ktk biashara zake kabla ya kuwa Raisi? Unakumbuka jinsi alivyotapeli fedha za watu ktk mradi wake wa " Trump University "?

..Mtu mwenye kashfa za utapeli na udanganyifu wa kiwango cha Trump hakupaswa kushika nafasi ya uongozi, sembuse Uraisi wa Marekani.

..Wamarekani wako disappointed na serikali na wanasiasa wao, lakini Donald Trump sio mtu sahihi kwa muelekeo ambao Marekani inapaswa kuuchukua.
Madai ya kuibiwa uchaguzi ni lugha ya kisiasa, ww unataka aseme alishindwa?
 
Madai ya kuibiwa uchaguzi ni lugha ya kisiasa, ww unataka aseme alishindwa?

..ndio utamaduni ambao ulikuwepo kwa watangulizi wake kwamba anayeshindwa anakubali matokeo. sasa trump aliposhindwa akaanza kudai ameibiwa na hakuondoka toka ikulu kistaarabu.
 
Democratic wakijichanganya na kumteua yule mbibi tuu, Trump saa6 mchana yupo White House.

Anaemchagua Trump sio Popula vote ni "Electoral college vote" (vigogo wa USA) sasa vigogo wote wanampinga sera zake, wanachofanya ni kutafuta mtu mwenye popular vote wampige trump mapema
 
Hapa Trump aliongea fact kwenye interview
"Kamala Harris was always of Indian heritage, I didn’t know she was black until years ago when she happened to turn black."
– Trump


 
Back
Top Bottom