"Mnatuchukuliaje? Watumwa wenu?" Waziri mkuu wa Pakistan awachana EU kwa kuishinikiza Pakistan kuilaani Russia

Jamaa linajiamini. Halafu litampelekea Putin tani za kutosha za ngano kama msaada.
 
Daaa; umeongea vizuri lakini sijaona uhusiano wa dini hapa mkuu; umefikiaje mwafaka huo mkuu!?
 
Huu ujinga ulioleza hapa wala sina sababu ya kujibu.
 
Siku hizi itakuwa umefuzu shule yako ya ujinga, kuanzia wapistani wamekuwa waarabu ?
 
UN inajivunjia heshima kwa upumbavu Kama huu.

Kumbe zile kauli za kulaani Ni masharti ya UN,

yaani ni sawa na mshenga badala ya kusuluhisha ndoa ya watu yeye anaanza kulaumu yule kakosea alaaniwe.

TAKA TAKA KABISA HAO UN
 
Ila saudi Arabia ndio wame nishangaza zaidi [emoji1][emoji1][emoji1]

Wao sihuwa ni washirika wakubwa wa USA !!?
Hata saa mbovu Kuna MDA inasema ukweli[emoji4]
 
UN inajivunjia heshima kwa upumbavu Kama huu.

Kumbe zile kauli za kulaani Ni masharti ya UN,

yaani ni sawa na mshenga badala ya kusuluhisha ndoa ya watu yeye anaanza kulaumu yule kakosea alaaniwe.

TAKA TAKA KABISA HAO UN
Mkuu....ila tuseme tu ukweli .....unaweza kunitofautishia mamlaka ya UN na USA kweny international affairs......binafsi naona USA ana dominate UN
 
Mkuu....ila tuseme tu ukweli .....unaweza kunitofautishia mamlaka ya UN na USA kweny international affairs......binafsi naona USA ana dominate UN
USA ndo mchangiaji mkubwa was bajeti zote za UN. Wengine wasindikizaji TU.

Lazima awe na sauti, pale anapokua na Jambo lake.

Sasa Hawa bendela fata upepo,
Wanafata hata Yale ya hovyo kisa mwenye pesa kasema.
 
Mbona tz,hatuja pata barua kama hiyo,[emoji23].hata sisi ni dona country bana,sema majuz tu tevishwa koti la umaskini na .......!!!!
 
Baba umetisha sanaaa baba unyaaama mwingi sanaaa lakini baba hebu tutafsirie kwa kinyantuzu hiko kimoscow moscow
 
Hakuna anayepoteza ushawishi sana sana utakuta Pakistaní wenyew ndio wataumia
Watu humu wanaongelea kiushabiki sana aisee, imagine nchi zote za EU na wapambe wake wawe against you, kwa hii dunia kiuchumi umekwisha, hata huyo kichaaa wao Puttin it's a matter of time tuu wananchi wake wakianza kuonja joto la jiwe hakutakalika. Imagine eti amekamata na kuweka korokoroni waandamanaji elfu 10 na bado watu wanaandamana.
 
Hao Pakistan wake makomandoo waliingia nchini mwao, wakamuua Osama na kuondoka naye, huku wao wamelala usingizi wala wasijue what happened [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baba umetisha sanaaa baba unyaaama mwingi sanaaa lakini baba hebu tutafsirie kwa kinyantuzu hiko kimoscow moscow
The ONLY reason republicans are backing the Russian oil ban is so they can blame gas prices on Biden in an election year. If they actually gave a shit about Ukraine, they’d have voted to impeach and remove donald when he withheld aid from and extorted Zelenskyy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…