Mnatupa wakati mgumu saana.

Bora hata Wewe mzee baba.
Mimi wife asubuhi alishika simu yangu, nimelala.. Ghafla kasema "endelea kulala ukiamka utanambiy Suzy ni nani "..

Siku ya 3 hii Leo sijaamka nimelala tu
 
Mimi pia nimeshtuka siku hizi mtu mmoja ana IDs kumi.
 
Ha ha ha ha mim nna moyo na hisia ujue so kutibuliwa nje nje sema tu huwa naweka kwenye dustbin fasta
Oooohhh!
Basi sawa mkuu!! Sijapata la kunifanya nibadili ID!
 
Kuna mtu anatafutwa sasa naona kama unaogopa kufumaniana na ambae ushampitia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…