Mnatupa wakati mgumu saana.

Mnatupa wakati mgumu saana.

Hahahahahaahahah

I believe you, lakini hebu angalia screenshots zifuatazo

View attachment 1308008

Paula ndio hajui PM ni wapi ila mnaofuata mnapajua

View attachment 1308010

View attachment 1308011

View attachment 1308012

Kwa hiyo MKUU NaddySL sidanganyiki na siji PM ng'oooo😀😀😀😀😀😀😀😀
Hata bado sijaelewa!
Mimi alinifungulia akaunti mwenyeji wa humu.
Kwahiyo PM hapafai kwenda eeh?
Kwani mnaendaga kufanya nini?
 
Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!

Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!

Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
Ha ha ha kudadeki na ww babe wako lazma awepo mule amekula mtu kimasihara halaf mwenye mume hujui hapo sasa....
 
Back
Top Bottom