Nabii hakubaliki kwaoMisri wanakopa sana ila mikopo yao inaendana na maendeleo
Vipi Tanzania pesa tunazokopa zinaendana na maendeleo? Zaidi zinafikia mifukoni mwa Mafisadi
Hii nchi ina kirusi kibaya kinaitwa Chawa..!
Tatizo umebase kwenye takwimu za imf ambazo ukute asilimia ya mikopo tunayochukua inachangia asilimia 10 au 20 kwenye mikopo yote kwa ujumlaKweli mkuu upuuz upo Sana ila hatuna Mikopo Kama majirani
Horodha???Mnavyosemq mama Samia anakopakopa Basi mnamkozea sna mam huyu leo ripot ya imf shirika la fedha duniani imetoka na kuonesha inch kumi zenye Mikopo mikubwa imf na katk nnchi zote hzo Tanzania ya Samia haipo kwenye horodha ya nch zinazodaiwa na imf
Misr imekuwa kinara wa Mikopo kutoka kwa mabeberu
Na nilicho kiona Hapo pia Ni Kwamba nchi zote zenye Mikopo mikubwa imf zot imetuzidi sisi kwa kiuchimi kenya imo ndani kwa kudaiwa trillion 6 na imf
serekali ikope jmn ikope ikiwezeonakope Hadi trillion 50 HV uchumi ukue Sasa jmn
Namkaribisha bwana Lucas mwashamba ajazie nyama ππ
OrodhaHorodha???
Unasomaga report za CAG?Mnavyosemq mama Samia anakopakopa Basi mnamkozea sna mam huyu leo ripot ya imf shirika la fedha duniani imetoka na kuonesha inch kumi zenye Mikopo mikubwa imf na katk nnchi zote hzo Tanzania ya Samia haipo kwenye horodha ya nch zinazodaiwa na imf
Misr imekuwa kinara wa Mikopo kutoka kwa mabeberu
Na nilicho kiona Hapo pia Ni Kwamba nchi zote zenye Mikopo mikubwa imf zot imetuzidi sisi kwa kiuchimi kenya imo ndani kwa kudaiwa trillion 6 na imf
serekali ikope jmn ikope ikiwezeonakope Hadi trillion 50 HV uchumi ukue Sasa jmn
Namkaribisha bwana Lucas mwashamba ajazie nyama ππ
Acha upuuz wewe kwahyo unadhani ukiwa na mabonde na milima ndio nn ,pesa zinatakiqa kuekeza katk rasilimali hzo siyo blaha blaha ,,kopa upate maendeleo yako ,Kama unajisifia ukopagi Basi wee n maskiniWatanzania tunapaswa tujiulize, Nchi kama hii iliyojaliwa ardhi yenye rutuba,Madini,Maziwa,Bahari na Mbuga za Wanyama za kutosha.Tuanze kupigia upatu suala la kukopakopa Jamani hebu tumuogope Mungu jamani.
Uandishi gani huu, hata binti yangu wa std 7 hawezi kuandika hiviMnavyosema mama Samia anakopakopa Basi mnamkozea sna mam huyu leo ripot ya imf shirika la fedha duniani imetoka na kuonesha inch kumi zenye Mikopo mikubwa imf na katk nnchi zote hzo Tanzania ya Samia haipo kwenye horodha ya nch zinazodaiwa na IMF.
Misr imekuwa kinara wa Mikopo kutoka kwa mabeberu
Na nilicho kiona Hapo pia Ni Kwamba nchi zote zenye Mikopo mikubwa imf zot imetuzidi sisi kwa kiuchimi kenya imo ndani kwa kudaiwa trillion 6 na imf
serekali ikope jmn ikope ikiwezeonakope Hadi trillion 50 HV uchumi ukue Sasa jmn
Namkaribisha bwana Lucas mwashamba ajazie nyama ππ
View attachment 2992474