Mnawachukuliaje wasichana walioweka bleach kichwani?

Akikupa papuchi usiache kutumia Condom
 
Mm nawaonaga wadangaji tu..huwa siwakubaligi Kabisa yan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo makitu hayajawahi kunibariki hata kwa kuangalia tu. Fortunately hata kwenye familia yetu hakuna mwanamke anaetumia hiyo kitu. Ningekuwa nayaiba natia moto.
Ngoja ile siku tukienda Morombo nitakavyo vaa wigi. Utachagua kuvumilia au kunikimbia
 
Mi nawafyeka sana hao,nikikuona hivyo tu,napatana bei,hao ni HOOKERS wa kistaili.
Wengine wake za watu,na waume wanawaachia tu,wanadanganywa ni staili,mi nawanyoosheeni tu.STPD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…