Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).

WAKATI WA KUTOA USHUHUDA

Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.

I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.

She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.

Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?

( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )

Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..

BRAINWASHERS
: Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..

Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...

Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..

These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".

attachment.php
Hahaaa mbavu zangu sina
 
Hakuna jambo la kijinga kama kujifanya mjuaji wakati hujui. Hawa unaojaribu kuwapuuza inaonesha wana akili nyingi sana kukukuzidi. Wewe ndio inabidi ujipande na tangu sasa ujifunze kutumia ubongo wako kufikiri balada ya kuuweka kwenye museum ya kichwa.

Kama utataka kujua ni kwa nini, sababu ni hizi mbili:
1. Kwa mtu dynamic, hakuna unachopoteza kwa kusikiliza failures za mtu mwingine. Sana sana unapata kujua kufeli kwake na wewe unatumia makosa yake kuboresha hali yako

2. If you are that much smart to call them mataahira, wewe nikuiteje kwa ubwege ulionao wa kushindwa kubaini kuwa huu mwito wa kuhudhuria kikao niliopata leo ni wa wale mataahira. Au huwa wanakuchukua ukiwa umelala unaamka na kujikuta upo unahudhuria mkutano wa mataahira?
Wameanza kuja
 
Mkuu ukitumia kiswahili utapendeza zaidi. Looser maana yake nini? Mimi nahisi ulikuwa unamaanisha loser.
Hapa pia umechanganya sana madesa. Umekoaea

"These people, are realy dont know what is going on..."
well, umeongea jambo la msingi lugha kidogo inakusumbua ungeandika kiswahili bado tungeamini umesoma na unajielewa.unapotaka kutumia english kuwa makini au tu consult sisi wataalamu tusaidiane. Nashukuru.



Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).

WAKATI WA KUTOA USHUHUDA

Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.

I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.

She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.

Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?

( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )

Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..

BRAINWASHERS
: Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..

Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...

Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..

These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".

attachment.php
 
U
Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).

WAKATI WA KUTOA USHUHUDA

Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.

I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.

She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.

Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?

( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )

Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..

BRAINWASHERS
: Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..

Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...

Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..

These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".

attachment.php
Umenikumbusha katuni ya 'Cars'- losers! I eat losers for breakfast!
 
Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).

WAKATI WA KUTOA USHUHUDA

Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.

I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.

She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.

Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?

( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )

Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..

BRAINWASHERS
: Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..

Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...

Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..

These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".

attachment.php
Binafsi wapo ambao ni majirani zangu. Walishanishawishi nikawaambia mpaka nione positive changes in their lives. Kwa maana ya kuanzia kufikiri, maendeleo chanya ya physical materials kama nyumba nzuri, gari zuri, shule nzuri kwa watoto, n.k
Naona hawapigi step forward, sasa sijui kuna mzimu huko!
 
Ukishindwa kutumia akili zako uwe na uhakika kuwa wenye maarifa watatumia akili zako kikamilifu na watatajirika!!! GNLD ni aina flani ya umachinga wa dawa tena zenye ghali, watu wengi wameingia kingi. Nilimsikia mtu mmoja akisema kuwa sasahivi cheo chake ni kikubwa sana GNLD kwa misingi kuwa anawateja wengi wa kuuzia hizo wanazoita food suplement. Think wide before any decision.
 
Mkuu ukitumia kiswahili utapendeza zaidi. Looser maana yake nini? Mimi nahisi ulikuwa unamaanisha loser.
Hapa pia umechanganya sana madesa. Umekoaea

"These people, are realy dont know what is going on..."
well, umeongea jambo la msingi lugha kidogo inakusumbua ungeandika kiswahili bado tungeamini umesoma na unajielewa.unapotaka kutumia english kuwa makini au tu consult sisi wataalamu tusaidiane. Nashukuru.
Kakosea kidogo tu!!!!
 
What a man make for his living its non of my business (Don Corleone)

Nafikir waachwe waangalie fursa cha msingi ni kuweza kujikomboa na umasikini

Watanzania tumejawa na uongo+uoga+majungu+wivu na unafiki
Kupunguza sauti ya TV ili kunusa nini kinaungua jikoni
 
you do not know well about economics and economic dvpment! unazarau laki sita_ unajua uchumi unaanzia bei gani,yale madawa ya forever ukiugua au ukawa unajali afya yako utayapenda sana Ila kwa sasa huna pesa ndo maana hujui kugaramia bizaa za viwango.bei ya colgate sio sawa na aha.kua uyaone,jifunze uelewe,soma uelimike.
 
Kuna dada mmoja tunakaa jirani nikaona anaanza kunichangamkia sana km tumejuana siku nyingii,siku moja kaja kugonga geti anataka tuongee nikamkaribisha ndani anaanza kuniambia habari za forever living sijui nn ukitaka kujiunga unaanzia laki 7.


Nikamwambia asante sana sina interest na mambo hayo kbs hata kama kujiunga ni bure.
 
Back
Top Bottom