Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Watu wanafanywa matairi ya magari kwa ajili ya kuwazalishia wenye mali, wewe unabaki na faida kiduchu, umesaga soli, wateja hawapatikani, bidhaa zenyewe zinauzwa ghali, unakaririshwa vitu kama mtoto wa chekechea, bora nikalime mahindi hata kama hayana bei nzuri ntasaga na kula, shenzy type
 
Pia hawatofautiani na Qnet! Kuna jamaa yangu mmoja nilisomaga nae enzi hizo,sasa siku moja nlkuwa kwa ofisi nkawa nachat nae,akanambia ikifika jioni njoo morocco kuna ishu flan tupige hela me nikasema yes mambo si ndo hayo sasa[emoji23] [emoji23] ,nkaenda nkashangaa wanasalimiana good morning saa kumi na moja jioni,mara wakaanza kunambia walivokaririshwa me nkawaskiliza tu then nkasepa sijarudi tena,jamaa daily ananisumbua kwny simu umefikia wapi? We njoo na milioni 4 uingie kwny business! Dah nkahuzunika sana jamaa yangu ndo kashapotea tayari[emoji24] [emoji24] ,leo akanipigia simu kuniuliza maendeleo vipi nkamchana tu ukweli jembe huko sipo ni shimoni toka kimbia akaanza kukasirika,nkamwambia hata hivo we si una hela upo kwny hyo business hebu nrushie elfu kumi nikanywe hata balimi zangu kadhaa nipooze koo[emoji482] [emoji482] ,jamaa akajiuma uma pale ooh sina hela,wakati huo yupo stend anagombea daladala tu[emoji23] [emoji23] !!
Ila kwa kweli hawa watu wanakera hivi kweli usawa huu unambie nitoe 4M ili ninunue saa tu halafu ndo nijiunge kwenye biashara? Kwa mimi hapana aisee!!
 
Pia hawatofautiani na Qnet! Kuna jamaa yangu mmoja nilisomaga nae enzi hizo,sasa siku moja nlkuwa kwa ofisi nkawa nachat nae,akanambia ikifika jioni njoo morocco kuna ishu flan tupige hela me nikasema yes mambo si ndo hayo sasa[emoji23] [emoji23] ,nkaenda nkashangaa wanasalimiana good morning saa kumi na moja jioni,mara wakaanza kunambia walivokaririshwa me nkawaskiliza tu then nkasepa sijarudi tena,jamaa daily ananisumbua kwny simu umefikia wapi? We njoo na milioni 4 uingie kwny business! Dah nkahuzunika sana jamaa yangu ndo kashapotea tayari[emoji24] [emoji24] ,leo akanipigia simu kuniuliza maendeleo vipi nkamchana tu ukweli jembe huko sipo ni shimoni toka kimbia akaanza kukasirika,nkamwambia hata hivo we si una hela upo kwny hyo business hebu nrushie elfu kumi nikanywe hata balimi zangu kadhaa nipooze koo[emoji482] [emoji482] ,jamaa akajiuma uma pale ooh sina hela,wakati huo yupo stend anagombea daladala tu[emoji23] [emoji23] !!
Ila kwa kweli hawa watu wanakera hivi kweli usawa huu unambie nitoe 4M ili ninunue saa tu halafu ndo nijiunge kwenye biashara? Kwa mimi hapana aisee!!
Unamaanisha juzi tu kakupigia simu? Hivi haoni hizi nyuzi humu jf?
 
Hao wasanii afadhali Forex x 100 sema Ontario ndo nae kachomekea utapeli wake humo
 
Mimi walinikokota mpaka New Arusha........nilitukana mpaka basi......ubaya hawakwambii unaenda kusikiliza forever living.....wanakuelezaeleza tu bla bla mpaka ufike ndio unagundua......
Nahisi nlikuepo pia, wana saundi sijawahi ona kuna jamaa yangu yupo pale uhasibu chuoni hahahaa alinikomalia ila hakufanikiwa
 
Mimi walinikokota mpaka New Arusha........nilitukana mpaka basi......ubaya hawakwambii unaenda kusikiliza forever living.....wanakuelezaeleza tu bla bla mpaka ufike ndio unagundua......
Ndiyo hao hao Oriflame?Kuna mdada alinisumbua sana pale Arusha na hiyo oriflame sijui ya wa swedish?
 
Huko kuna watu wanaopiga hela za maana na hakika wako ambao wanalizwa .Cha msingi Kwenye maisha epuka kuwa victim. Think big . Wakubali watu wanaokuja na ubunifu na kuchangamkia fursa .
 
Back
Top Bottom