FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ujanja ujanja tu yaan mtu kakomaa na Hizo biashara miaka zaidi ya 10 Leo hii kanunua Alphard yeye ndo anaona kayapatiaHawa watoto wetu wanaopata Division one za 7 points, huko ndio wanakofikiri kuna hela za fasta fasta. Wengi wamepigwa sana. Waanzilishi wa Forever Living wale wahandisi wawili, hivi wako wapi?
Wanaoanzisha hizo schemes huwa na ponzi schemes in mind, ika wanatumia hio MLM kama disguise tu ya kuficha ukweli, zote ni DECI tuForever Living, GNLD na the millions like that sio Utapeli (ingawa wanachama wao huenda ndio matapeli)
Hii sio Ponzi Scheme / Pyramid as kuna product....
Business Model ya Hii (multi level marketing / direct selling / network marketing) ni kuuza vitu kwa kutumia hii chain ya watu wanaojuana kwa kufanya recruiting ya wengine pia kufanya hivyo. Tatizo la hii kitu ni wahusika ku-oversell ukweli, kuwa wadanganyifu n.k. Pia kutumia membership fee za watu kama kipato as well as kulazimishana kununua product za kuuza.....
Kwahio nadhani ni busara kuangalia products je ni nzuri au ni kulazimishana kununua products hafifu ili watu wapate pesa
Kuna nyingine AVON ambayo imejikita kwenye Direct Sales ilikuwa ina-recruit sana home-workers (kina mama) wanauziana beauty products ambazo ni bei ndogo (kutokana na kwamba kampuni inapunguza marketing costs) hivyo kuwapa faida hio sales agents wake....
Ponzi Scheme ; Deci hazina product..., ni payment ya wale wanaokuja kwa kutumia pesa anazoweka aliyetoka (Hizi Pyramid Scheme mwisho wake ni kama unavyojua...Wanaoanzisha hizo schemes huwa na ponzi schemes in mind, ika wanatumia hio MLM kama disguise tu ya kuficha ukweli, zote ni DECI tu
Hata hizi ambazo wanasema wana product ni zuga tu, maana haiingii akilini eti dawa ya mswaki unauza laki 3 , au saa ya laki 1 unauza milioni 5, eti kisa ina vitu gani sijui, so hapo lengo ni wewe kulipa kiingilio cha hiyo DECI halafu serikali ikija kuuliza mnasema kwamba amenunua dawa, hajalipa kiingilio, ni uhuni tuPonzi Scheme ; Deci hazina product..., ni payment ya wale wanaokuja kwa kutumia pesa anazoweka aliyetoka (Hizi Pyramid Scheme mwisho wake ni kama unavyojua...
MLM, Direct Marketing, kuna Products na faida kubwa inapatikana kwenye mauzo ya vitu na sio recruitment ya watu hence hata bila mtu ku-recruit unaweza kuuza na kupata faida recruitment unapata faida tu ya commission kutokana na kumtafuta mteja na kumfanyia mentoring....
Hata Mpesa, Tigo et al Mawakala Wakuu wanakula Commission kutoka kwa Mawakala wakawaida kutoka na kazi wanayofanya ila it has nothing to do with Pyramid / Upatu....
Its a solid business model ila utendaji na wengi wanaofanya hii kitu ni matapeli (wanauza illusion na sio uhalisia) badala ya kuuza product zaidi wanauza recruitment zaidi na kudanganyana utajiri ambao haupo (ukizingatia product zao ni bei mbaya sio kulingana na uhalisia) just imagine product zao zingekuwa ni mpaka jero, jero hali ingekuwaje
Naam product lazima iwe valuable na iwe ina market..., yaani watu waje sio ili watengeneze pesa bali waje ili wapate huduma (kama kila mtu anakuja ili awe millionaire na sio ili kutumia bidhaa basi biashara hio sio sustainable)..., Yaani watu wawepo ili ku-facilitate sales na huduma..Hata hizi ambazo wanasema wana product ni zuga tu, maana haiingii akilini eti dawa ya mswaki unauza laki 3 , au saa ya laki 1 unauza milioni 5, eti kisa ina vitu gani sijui, so hapo lengo ni wewe kulipa kiingilio cha hiyo DECI halafu serikali ikija kuuliza mnasema kwamba amenunua dawa, hajalipa kiingilio, ni uhuni tu
Wewe unaongelea what MLM should be. Ila mimi ninakueleza what MLM is in PRACTICE. Watu huenda hapo kutajirika kwa kulipa viingilio kwa mfumo wa kununua bidhaa kama kisingizio tu, hivyo kwa bongo hapa, kwa MLM zilizopo, zote ni Utapeli, labda wewe ndio uanzishe mpya itakayofuata misingi, ambapo hata hivyo utapata shida kushindana na hawa wanaoahidicwatu utajiri na kuwachota akili. Hata hiyo Avon, inabidi tuichunguze kama watu hawaahidiwi utajiri.Naam product lazima iwe valuable na iwe ina market..., yaani watu waje sio ili watengeneze pesa bali waje ili wapate huduma (kama kila mtu anakuja ili awe millionaire na sio ili kutumia bidhaa basi biashara hio sio sustainable)..., Yaani watu wawepo ili ku-facilitate sales na huduma..
Ni kama vile ilivyo Dunia ya Sasa kuanzia Pension Funds mpaka mfumo wa Pesa (FIAT MONEY) vyote ni Utapeli tu wa level tofauti tofauti....
Ninakadhia upya hata nikiwa nina mfumo wangu wa biashara Direct Sales na Multi Level Marketing is a sound business model.., hapa tutofautishe a Business Model na Shady Businesses zinazotumia a certain Business Model (Kampuni kama AVON yenye kuuza cosmetics za kina mama tena nyingi more a less prices zake ni kwenye a Dollar) they are sound; as the business is built around the product ingawa sales ndio zinatumia direct selling
Wanajua sana kuchota watu akili, mi mwenyewe walinikosa kosa 2012Kuna bestmulla huko new in town acha watu waumie tu
Siku hizi Caffee ziko wazi. Hazina kabisa wale wasomi wanaofundisha wenzao kuwa matajiri kwa network marketing strategies. Na reference yao kila ukiwauliza, ni Kayosaki kasema. MburaaahUjanja ujanja tu yaan mtu kakomaa na Hizo biashara miaka zaidi ya 10 Leo hii kanunua Alphard yeye ndo anaona kayapatia
Mtoa mada hauna adabuJumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha akaniuliza kama nitakuwa na nafasi jumapili ya wiki hiyo around saa saba mchana. I told her what is the problem? akaniambia kuna meeting muhimu sana ambayo angependa kuona na mimi nikishiriki. Nikamwambia hakuna shida. Siku hiyo akaniomba tukutane maeneo ya mwenge, nikamdrive hadi pale ITV kwenye ukumbi wa mikutano wa GNLD. She told me it was a GNLD meeting. She is a member, she has invited me to listen to what they are doing and may be if interested nijiunge nao pia. Nilitaka kurudi hapo hapo but nikasema ngoja niende kuwasikia wana kitu gani kipya ambacho sijawahi kukisikia mahali., ( I knew about this cra.p ) since 2001 and i know what they are actually doing ).
WAKATI WA KUTOA USHUHUDA
Baada ya introduction na kabobo kutoka kwa aliyekuwa msemaji mkuu wa hiyo meeting, ikafikia zamu ya watu mbalimbali ambao ni memba wa GNLD kutoa shuhuda zao. Huyo msichana alikuwa miongoni mwa walio toa ushuhuda.
I WAS SO SO DISAPOINTED WITH THEM.
She said, nimejiunga GNLD tangu mwaka 2009 and blah blah, Now ninaingiza PESA NYINGI SANA KWA MWEZI!
Ninaingiza shilingi LAKI SITA KWA MWEZI! ( Hivi kweli Graduate wa Chuo Kikuu anaweza kuwa na mawazo mgando kiasi hiki! Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie.
Others were talking like, NIMEFIKA HADI NAIROBI MIMI! HUWEZI KUAMINI! UKINIONA UNANICHUKULIA POA, ILA NIMEFIKA HADI NAIROBI KWA KAZI HII HII?
( Seriously kweli! kufika Nairobi nalo ni jambo la kujisifu mbele ya kadamnasi ! )
Wengi wao wanaongea kuhusu laki nne kwa mwezi na utoto utoto kama huo..
BRAINWASHERS : Wakati wa shuhuda kuna jamaa huwa wanasimama na kuongea utoto mwingi like u know nilikuwa meneja wa T.R.A mkoa but nimeacha baada ya kuona GNLD inanilipa.. Mwingine akasema " Nilikuwa muhasibu BARICK, nalipwa MILIONI NNE kwa mwezi, ila nimeacha kazi baada ya kuona GNLD ndio mpango. Plus utoto utoto mwingine kama huo..
Mwisho wa siku i told her, please be serious even for a second, how dare you bring me to a place like this. What do u take me for? or what kind of a fool do u think i am? do u confuse me with a looser or something ? Do i look like someone who is joking about his life? U shall not tell me about this cra.p again...
Kiukweli niliona amenidhalilisha sana, i say..
These people, are realy dont know what is going on in their lives na wanahitaji kukombolewa. Kuwa describe hawa watu wa GNLD na FOREVER LIVING PRODUCTS in a single word, they are " LOOSERS".