Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
CCM ndani ya chama chao wanashindana kwa fitna, majungu, ulozi na fedha nje ya chama chao wanashindana kwa bunduki, marungu, visu, mapanga na mabomu ya machozi.Mtandao wa Jakaya ulitumika kumuangusha Dr Gharib Bilal mwaka 2000 kwny NEC ya Bara na kumuibua Karume aliekuwa wa pili kutoka mwisho kwny kura za NEC ya Znz
Jk akajigeuza akiwa Waziri wa Mambo ya nje nakumbuka akajigeuza Kampen Manager wa Aman Karume hadi nakumbuka alionekana kwny Magazeti akimfungulia Mlango wa Gari Karume wakati anaingia Dodoma Chimwaga kwny kura kuashiria ndio Mgombea wake hivyo Wanamtandao wote wampe kura na ndicho kilichotokea
Ilipofika 2005 ikawa sasa zamu ya Karume kulipa fadhila kwa kuhakikisha Salim kwanza hapati kura za Wa Znz wenzie lakin pia aoneshwe yeye ni Hizbu na Mpinga Mapinduzi na baya zaid akapakaziwa alikuwa kwny mpango uliofanikiwa wa April 7,1972 pale Kisiwandui
Politics beyond humanity.