Mnawafahamu waliompachika Dkt. Salim Ahmed Salim jina la Hezbollah katika kugombea Madaraka?

Mnawafahamu waliompachika Dkt. Salim Ahmed Salim jina la Hezbollah katika kugombea Madaraka?

Chaguo namba moja la Nyerere alikuwa Salim. Mwinyi na Kawawa waliwekwa ili ionekane demokrasia ichukue mkondo wake. Rashidi Kama kawaida alijitoa. Kitendo cha Mwinyi kukaa kimya ambacho Nyerere hakutegemea kilimfanya atumie maamuzi magumu kumpitisha Mwinyi. Kura hazikupigwa.
 
Mzee mwinyi kwenye kitabu chake kaandika kuwa kwa kuwa yeye Muislam eti walikuwa wanamtuhum kuwa alikuwa anateua viongoz kwa upendeleo wa kidini,kumbe wagalatia drama hizi za fitna za udini hawakuanza leo hawa jamaa
Kila sehemu umekadhania neno hilo hilo kana kwamba umepumzika kufikiri na kukumbuka.

Mwalimu alisema ametuhumiwa kuteua wakristo wakatoliki, alipoangalia baraza lake akagundua wakatoliki ni yeye na George ambaye hata hivyo ukatoliki wake ulikuwa batili tayari.

Mwinyi kadhalika, ingawa huyu sasa alikuwa analeta watu kutoka Znz tu kwenye teuzi za bara, so hachomoki kwa hilo.

Mkapa, pia alituhumiwa hivyo, Dr Ali Juma akaja kuwasema waislam hadharani kwamba waache kulalamika, badala yake wakadhanie elimu dunia kama wanavyokadhania elimu ahera.

Kikwete, alipoanza, wakasema kuna harufu ya udini kubwa, hapa wali-refer baraza lake la kwanza, hata hivyo haikuwa issue sana kwakuwa jamaa sio mdini kiviiiile.

JPM, huyu ametuhumiwa kuwa mkabila zaidi ya udini.

Samia, huyu sasa tumuangalie kwa jicho la tatu, muelekeo wake wala hauna shaka na umeshajidhihirisha hata kabla ya siku 60 ofisini.
 
Mfumo wa Ulinzi dhidi ya Makombora kule Msoga ni mkali sana …naambiwa 'ukirusha kombora' halitunguliwi bali linarudishwa lilipotoka kwa kasi zaid
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂 ha ha ha ha ha. Eti Kombora la Msoga. Hebu Muacheni Mheshimiwa JK ale ustaafu wake baada ya kufanya kazi nzito katika nchi hii.
 
Mkuu umetoka kushindilia na kubughia msosi usiku kucha kama fisi mlafi. Itakuwaje njaa imekubamba asubuhi hii uanaanza kuleta porojo jamvini?

Ha ha ha, mkuu mbona unaongea kwa hasira Sana.

Kwani lipi baya Mimi nimeongea
 
Kila sehemu umekadhania neno hilo hilo kana kwamba umepumzika kufikiri na kukumbuka.

Mwalimu alisema ametuhumiwa kuteua wakristo wakatoliki, alipoangalia baraza lake akagundua wakatoliki ni yeye na George ambaye hata hivyo ukatoliki wake ulikuwa batili tayari.

Mwinyi kadhalika, ingawa huyu sasa alikuwa analeta watu kutoka Znz tu kwenye teuzi za bara, so hachomoki kwa hilo.

Mkapa, pia alituhumiwa hivyo, Dr Ali Juma akaja kuwasema waislam hadharani kwamba waache kulalamika, badala yake wakadhanie elimu dunia kama wanavyokadhania elimu ahera.

Kikwete, alipoanza, wakasema kuna harufu ya udini kubwa, hapa wali-refer baraza lake la kwanza, hata hivyo haikuwa issue sana kwakuwa jamaa sio mdini kiviiiile.

JPM, huyu ametuhumiwa kuwa mkabila zaidi ya udini.

Samia, huyu sasa tumuangalie kwa jicho la tatu, muelekeo wake wala hauna shaka na umeshajidhihirisha hata kabla ya siku 60 ofisini.

Unaongea nini SASA?

Tunachokueleza sisi ni maneno wanavyosema jamaa zako wagalatia kuwa kila kiongoz Muislam akiwa MADARAKANI na akichagua mtu ambae ni Muislam anaitwa mdini na hao wagalatia,Ila akija kiongoz mkristo akafanya uteuzi wa upendeleo waz waz mnageuka,

Unaona sasa,unasema Magufuli akiteua kwa ukabila na siyo udini,unahamisha goli sasa,Magufuli katika baraza lake la mawazir Kulikuwa kuna mawazir 24, waislam walikuwa wanne tuh na hao 20 ni christians unasemaje hakuwa na udini, manaibu wazir walikuwa 16 na waislam wap wakijua sita unasemaje hakuwa na udini,hapo hujaenda KWA makatibu na manaibu katibu wakuu,so unataka kusema kwamba waislam hawana shule bado,?Hii hoja hamna pa kuchomokea
 
Mfumo wa Ulinzi dhidi ya Makombora kule Msoga ni mkali sana …naambiwa 'ukirusha kombora' halitunguliwi bali linarudishwa lilipotoka kwa kasi zaid

Ufafanuzi kiduchu 😂😂😂
 
Kawawa ni next level

Nyerere aliandika kwny Kitabu chake kuwa Mungu kaumba watu wachache sana wa aina ya Kawawa

Alipochoka kukaa na Kawawa kama PM kwa muda mrefu anasema alimwita Kawawa Mwenyewe amsaidie kuchagua Waziri Mkuu mwingine, alimshauri amchague Sokoine na ndio ikawa chaguo bora zaid

Kawawa ndio alikuwa 'Taulo' la Nyerere, Lawama na mabaya yote akawa analaumiwa Yeye


Wazee wanakwambia 'Operation vijiji vya Ujamaa' ya 1972 aliipinga sana Kawawa ndani ya Cabinet, lakin Maamuzi yalipofanyika alisimamia maamuzi yale na lawama akazibeba, Ingekuwa hawa kina Hamisi Maboda boda angesema 'niliwaambia lakin wakaniona mjinga'

Kawawa ndio Waziri pekee alieanza na kumaliza na Nyerere miaka yote ya Utawala wake na ndio chaguo la Nyerere la kwanza 1985 hadi Kamati kuu sema Wajumbe Nyoko wapo kitambo sana
Kawawa mbona nilisikia alikuwa tu ndio mzee kwa Nyerere alikuwa hawezi kupinga chochote atakachaoamua Nyerere. Aliyepinga hayo mambo ya operesheni vijiji alikuwa ni Kambona na ndio akapatwa na misukosuko
 
Unaongea nini SASA?

Tunachokueleza sisi ni maneno wanavyosema jamaa zako wagalatia kuwa kila kiongoz Muislam akiwa MADARAKANI na akichagua mtu ambae ni Muislam anaitwa mdini na hao wagalatia,Ila akija kiongoz mkristo akafanya uteuzi wa upendeleo waz waz mnageuka,

Unaona sasa,unasema Magufuli akiteua kwa ukabila na siyo udini,unahamisha goli sasa,Magufuli katika baraza lake la mawazir Kulikuwa kuna mawazir 24, waislam walikuwa wanne tuh na hao 20 ni christians unasemaje hakuwa na udini, manaibu wazir walikuwa 16 na waislam wap wakijua sita unasemaje hakuwa na udini,hapo hujaenda KWA makatibu na manaibu katibu wakuu,so unataka kusema kwamba waislam hawana shule bado,?Hii hoja hamna pa kuchomokea
Ungeelewa maudhui ya andiko langu kwanza, usingekuja na tuhuma.

"Walisema" ndio msingi wa andiko langu. Zaidi, nimelenga kukueleza kuwa hakuna rahisi aliyewahi kuwepo madarakani na asituhumiwe kwa udini kwa hapa kwetu, na kwa unayemchukia zaidi JPM, nimesema alituhumiwa zaidi kwa ukabila zaidi ya udini hata SUKUMA gang term ikazaliwa.
 
Salim alikuwa kijana Sana wakati anaanza siasa..
Kumbuka anaenda kuwa Balozi Misri ana miaka 18 Tu ndo akaenda kusoma huko huko..

Alipaswa kuandika historia yake..
Alikuwa anapigwa vita na wengi

Let's hope he will do so. Nahisi ugonjwa utasumbua.
Nimependa sana hawa wazee wanavyoandika vitabu. Tutaacha hizi hadithi za kuzua zua tukiwa tunakunywa
 
Ungeelewa maudhui ya andiko langu kwanza, usingekuja na tuhuma.

"Walisema" ndio msingi wa andiko langu. Zaidi, nimelenga kukueleza kuwa hakuna rahisi aliyewahi kuwepo madarakani na asituhumiwe kwa udini kwa hapa kwetu, na kwa unayemchukia zaidi JPM, nimesema alituhumiwa zaidi kwa ukabila zaidi ya udini hata SUKUMA gang term ikazaliwa.

Hivi vitabu vya hawa wazee ndio muarubaini wa hawa watu wanaotaka tuongozwe kidini.
Hii nchi sio rahisi kama wanavyofikiria.
Tumpe Mama Support. Mzee Mwinyi na Mzee JK ambao wako hai, wanajua mambo jinsi yalivyo ukiwa ndio kiongozi.
Nasubiri kwa hamu kitabu cha JK
 
Ungeelewa maudhui ya andiko langu kwanza, usingekuja na tuhuma.

"Walisema" ndio msingi wa andiko langu. Zaidi, nimelenga kukueleza kuwa hakuna rahisi aliyewahi kuwepo madarakani na asituhumiwe kwa udini kwa hapa kwetu, na kwa unayemchukia zaidi JPM, nimesema alituhumiwa zaidi kwa ukabila zaidi ya udini hata SUKUMA gang term ikazaliwa.

Hakuna kitu kama hivyo,

Magufuli pamoja na udini aliokuwa nao kwenye teuzi zake,uliskia waislam wakilalamika kuwa Magufuli ni mdini??

Pamoja na kwamba upendeleo wake ulikuwa wa waz waz,waislam hakuthubutu kusimama kwa jambo hilo,siyo kama tulikuwa hatulion,tuliliona Ila tukaona haina maana Tena,maana ni tatizo lililokuwa kama.sikio la kufa
 
Unaongea nini SASA?

Tunachokueleza sisi ni maneno wanavyosema jamaa zako wagalatia kuwa kila kiongoz Muislam akiwa MADARAKANI na akichagua mtu ambae ni Muislam anaitwa mdini na hao wagalatia,Ila akija kiongoz mkristo akafanya uteuzi wa upendeleo waz waz mnageuka,

Unaona sasa,unasema Magufuli akiteua kwa ukabila na siyo udini,unahamisha goli sasa,Magufuli katika baraza lake la mawazir Kulikuwa kuna mawazir 24, waislam walikuwa wanne tuh na hao 20 ni christians unasemaje hakuwa na udini, manaibu wazir walikuwa 16 na waislam wap wakijua sita unasemaje hakuwa na udini,hapo hujaenda KWA makatibu na manaibu katibu wakuu,so unataka kusema kwamba waislam hawana shule bado,?Hii hoja hamna pa kuchomokea
Hizi dini mnazogombania wenzenu walizileta ili mgombane vizuri hivyo wakiliona hili wao hufurahia zaidi

Ifikie hatua tujitambue! Mungu gani anayependa matabaka?

Ni lini mtatambua kuwa dini ni tamaduni za jamii fulani!?

Yaani hamjui kabisa kuwa uislamu ni utamaduni wa waarabu na ukristo ni utamaduni wa wamagharibi!?

Kuendekeza haya ni upuuzi tu! Naskia huyu nae ametuletea salamu vuragizi ili kukwepa kutamka "Bwana yesu asifiwe".... upuuzi tu na ukoloni mamboleo ndio vinavyotusumbua waafrika. Kwani ukisimama ukasema 'habari za saa hizi" unapungukiwa na nini?
 
Vijiji vya Ujamaa vilikuwa 1972 wakati huo Kambona kishavurugana na Nyerere miaka kadhaa, nadhani umechanganya na Azimio la Arusha

Kawawa alikuwa Yes Sir baada ya makubaliano sio kuwa hakuwa na mawazo binafsi kwenye mijadala
kawawa mbona nilisikia alikuwa tu ndio mzee kwa Nyerere alikuwa hawezi kupinga chochote atakachaoamua Nyerere. aliyepinga hayo mambo ya operesheni vijiji alikuwa ni Kambona na ndio akapatwa na misukosuko
 
Wanasema Nyerere aliwahi kuwapenda viongozi 2 tu ,Sokoine na Salim.mliokuwepo kipindi hicho tuambieni ukweli kuhusiana na hili.
Niliwah kumsikia mzee Abdul atik akisema Maalim Seif alikuwa ni miongoni wa vijana ambao Mwal.JK Nyerere akiwapenda sanaaaa na hata ktk mchakato wa kuwatoa CCM mwal.alizidiwa kura na walio wengi bac mwal. akaridhia Maalim Seif na wenzake watolewe CCM
 
Hakuna kitu kama hivyo,

Magufuli pamoja na udini aliokuwa nao kwenye teuzi zake,uliskia waislam wakilalamika kuwa Magufuli ni mdini??

Pamoja na kwamba upendeleo wake ulikuwa wa waz waz,waislam hakuthubutu kusimama kwa jambo hilo,siyo kama tulikuwa hatulion,tuliliona Ila tukaona haina maana Tena,maana ni tatizo lililokuwa kama.sikio la kufa
Umeshinda aisee
 
Kawawa ndio Waziri pekee alieanza na kumaliza na Nyerere miaka yote ya Utawala wake na ndio chaguo la Nyerere la kwanza 1985 hadi Kamati kuu sema Wajumbe Nyoko wapo kitambo sana
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Unaongea nini SASA?

Tunachokueleza sisi ni maneno wanavyosema jamaa zako wagalatia kuwa kila kiongoz Muislam akiwa MADARAKANI na akichagua mtu ambae ni Muislam anaitwa mdini na hao wagalatia,Ila akija kiongoz mkristo akafanya uteuzi wa upendeleo waz waz mnageuka,

Unaona sasa,unasema Magufuli akiteua kwa ukabila na siyo udini,unahamisha goli sasa,Magufuli katika baraza lake la mawazir Kulikuwa kuna mawazir 24, waislam walikuwa wanne tuh na hao 20 ni christians unasemaje hakuwa na udini, manaibu wazir walikuwa 16 na waislam wap wakijua sita unasemaje hakuwa na udini,hapo hujaenda KWA makatibu na manaibu katibu wakuu,so unataka kusema kwamba waislam hawana shule bado,?Hii hoja hamna pa kuchomokea
Waislamu Shule hawana.. wala sio swala la Kujadili. Allah Akbar
 
Kawawa aliaminiwa zaidi na Nyerere
Na alikuwa tayari kubeba lawama zote za serikali Kwa niaba ya Nyerere
Usisahau Kawawa aliachiwa uwaziri mkuu
Kabla nchi haijawa Jamhuri na akaja kumrudishia Nyerere power..
Unbelievable in Africa
Kumbe Kawawa aliaminiwa hivi, sasa kwanini huwa mnalia na Nyerere mara Kanisa, mind zenu ziko covered na blanket, mengi ha matatizo mnayolilia hata nyie mkipewa nafasi huwa hamuyaondoi, mnayaacha hapo halafu mnakuja kuwalaumu wengine.
 
Back
Top Bottom