Mie ndio maana nahangaika na malaya tuu pale najua ni tit for tat basi sina muda wakuanza sijui nitumie picha ya matiti tako mbususu. Huo uteenager.mzabzab UPITE HUKU
Jaman imekuwa bidhaa??Shida sio kuomba hela shida ni kuwa Omba omba, ukiombwa utelezi jumlisha gharama zako zote za kutoa utelezi ziunganishe kwenye Bill moja. Sio mara naomba hela ya kusuka, mara naomba hela ya bando mara naomba hela ya kula, mara baba anaumwa etc. Kwani kabla ya kukutongoza ulikuwa hauli au hauweki bando?? We piga gharama zako zote kisha niambie ili nikupatie utelezi jumla ya gharama zangu ni Tsh. XX, kisha mimi ndio niangalie hizi gharama kwa huu mzigo zinaendana? Kama zinaendana nifanye malipo unipatie huduma, nikikuhitaji tena unaniandikia bill nyingine. Simple namna hiyo.
Mtasaidiwa na yesu, maisha ya dunia hii ni UbepariJaman imekuwa bidhaa??
We saidia tu kwa upendo kama huna mueleze mwenzio
HapanaKwahiyo ni sawa na kusema K inaweza kupewa kwa yule aliye tayari kutoa kiasi kadhaa cha Pesa?
DuhhUzuri bado mwanaume tunanafasi ya kutumia ushawishi wa maneno au madaraka kula mbususu.
Kikubwa kataa kutoa pesa kwa mwanamke ambaye iyi pesa hajaifanyia/ kufanya chochote cha maana kwako.
ushawahi kutuma baada yakubembelezwa..nisije twanga maji kwenye kinu🤣Atakutumia endelea kumbembeleza...