Mnayasababisha wenyewe halafu mnalalamika

Mnayasababisha wenyewe halafu mnalalamika

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Ujumbe kwenye picha unahusika sana....

Wanaume mmekuwa mkilaani sana kuombwa mahitaji baada ya muda mfupi baada ya kumuelewa mwanamke wa kitanzania.

Sasa wewe tumekutana leo leo halafu unaniambia umenielewa ...nikiuliza umenielewaje unajibu unataka mzigo.... Huku na huku tunachat mara paaaap unataka uone punanii

Sasa mbona wewe umeenda resi kwenye kutaka mzigo....na mimi nikikuomba kwa roho safii unisaidie nilipokwama ni vibaya?

IMG-20230205-WA0007.jpg
IMG-20230205-WA0006.jpg


Mkitaka msiombwe hela siku hiyo hiyo au kutwishwa matatizo ya wanawake jaman na nyie muwe na subra ya kuomba K au picha ya K baada ya miezi japo mitatu.
Hapo tutaenda sawa.
 
Shida sio kuomba hela shida ni kuwa Omba omba, ukiombwa utelezi jumlisha gharama zako zote za kutoa utelezi ziunganishe kwenye Bill moja. Sio mara naomba hela ya kusuka, mara naomba hela ya bando mara naomba hela ya kula, mara baba anaumwa etc. Kwani kabla ya kukutongoza ulikuwa hauli au hauweki bando?? We piga gharama zako zote kisha niambie ili nikupatie utelezi jumla ya gharama zangu ni Tsh. XX, kisha mimi ndio niangalie hizi gharama kwa huu mzigo zinaendana? Kama zinaendana nifanye malipo unipatie huduma, nikikuhitaji tena unaniandikia bill nyingine. Simple namna hiyo.
 
Shida sio kuomba hela shida ni kuwa Omba omba, ukiombwa utelezi jumlisha gharama zako zote za kutoa utelezi ziunganishe kwenye Bill moja. Sio mara naomba hela ya kusuka, mara naomba hela ya bando mara naomba hela ya kula, mara baba anaumwa etc. Kwani kabla ya kukutongoza ulikuwa hauli au hauweki bando?? We piga gharama zako zote kisha niambie ili nikupatie utelezi jumla ya gharama zangu ni Tsh. XX, kisha mimi ndio niangalie hizi gharama kwa huu mzigo zinaendana? Kama zinaendana nifanye malipo unipatie huduma, nikikuhitaji tena unaniandikia bill nyingine. Simple namna hiyo.
Jaman imekuwa bidhaa??
We saidia tu kwa upendo kama huna mueleze mwenzio
 
Kwahiyo ni sawa na kusema K inaweza kupewa kwa yule aliye tayari kutoa kiasi kadhaa cha Pesa?
Hapana
Point ni nyie kukataa kuombwa chochote immediately after kupendana.
Sasa shida kwani ina taarifa?
Nyie saidieni tu pale penye uwezekano. Hakuna uwezekano basii
 
Back
Top Bottom