Si umesema wanahi mno kuomba picha nk, navukasema walau mtu asubiri miezi 3 na kuendelea nami ndio nikauliza baada huo muda kupita picha K unaweza kutuma?Nimeongelea kwa hao mnaowalalamimikia kuwaomba hela
Sasa kwani hiyo mada imenilenga mimi au imelenga wanaume na wanawake wenye mambo hayo?Si umesema wanahi mno kuomba picha nk, navukasema walau mtu asubiri miezi 3 na kuendelea nami ndio nikauliza baada huo muda kupita picha K unaweza kutuma?
Hahaha! NimekusikiaSasa kwani hiyo mada imenilenga mimi au imelenga wanaume na wanawake wenye mambo hayo?
Usiwe una personalize mada au hoja za hapa jf. Sio tabia njema
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi naona iwe hivi kama unataka mzigoo ulipie hata dukani unalipia mzigo ndio uchukue .
Ila Kama unataka kutulia na babe umempenda basi chukua Muda umjue ,ngoja niwafunze jambo kupitia hapa if humtaki mtu Kwa ndoa basi fanya hivi . Mwambie babes Kwa Sasa naomba tupendane tu na sio ndoa tule Raha nitakupa kadri ya uwezo wangu .. ukija kumwelewa basi unamuoa ila njia mtakazo ni ngumu kupata mke au demu wakuspend .
Walahi ila nasiri nzuri jinsi yakupatA mtu kirahisi ila siwapi humu hiyo technic cause mnaniona maraya so kwendraaaa zenu mxiuuu bakini na punyeto
Mwanaume mchoyo ni marufuku kuona punani yanguu neveeeerrrIla hamna watu nawakubali kama wanaume ambao hata mahusiano huna au mnahusiana
ila ana huruma, mtu.mwenye huruma hana haja ya kuombwa
kuna situation ukiwa tu anakusaidia anajiongeza, na sio kwamba ni kikubwa nachotoa.. kuna mda mtu anahitaji buku2 tu maish yaende.. Popote mlipo Mungu awabariki sana!!!
Kuna wanaume Mungu amewapa Moyo sana.. maana kuna watu hata ukionyesha risiti za muhimbili zenye tarehe ya leo leo hata ndizi ya 250 hafikirii atakupa pole tu na kujiweka mbali ajifanye yuko busy na maisha
Tutaona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Najua me utanimegea kipenz😘😘😘
Sio kweli, mapenzi yana muda wake na mambo mengine yana muda wake na vyote hivyo 2 vina mazingira yake maalum
Nakadori;Hapana
Point ni nyie kukataa kuombwa chochote immediately after kupendana.
Sasa shida kwani ina taarifa?
Nyie saidieni tu pale penye uwezekano. Hakuna uwezekano basii
Mkuu Glenn hayanaga umri haya makituNakadori;
Huwa sipendi kuongelea mambo haya naina kama umri hauniruhusu kujadili haya....kwasababu ni wewe umeketa naomba niliqeke vizuri:
MAmbo haya nimekutana nayo mara nyingi sikumbuki hata idadi.
Unaposema tunaombwa ETI kwasababu sisi tunaomba uchi/mbususu haraka huo ni UONGO KWA 80%.
Mimi binafsi huwa sitongozi pm/DM au hata kwa txt.
Lakini mara nyingi nikibadilishana simu muda mfupi tu na baadhi yake shida huanzia hapo.
Kusaidiana ni sahihi 100%
Tatizo ni timing.
Tupeane namba leo na leo leo uwe na ujasiri wa kuomba unautoa wapi?.
Timing timing timing ndio tatizo.
Vinginevyo kama tayari tumefahamiana kwa muda flani wala sio tatizo kabisa kusaidiana
Mimi sina shida ya kutoa kabisa.Mkuu Glenn hayanaga umri haya makitu
Basi huwa wanakosea sana wanaofanya hivyo. Hawana haya.
Lakini vipi kuhusu mwenye shida ya kweli kweli na yamemfika ahingoni???nae ataonekana wa ajabu akiomba mtu ambaye wamepeana namba juzi?
Yeah hayo ya kusuka na urembo kweli ni kukosa haya.Mimi sina shida ya kutoa kabisa.
Nikiri pia kuna mtu anatokea kukuamini kuwa utamsaidia na shida yake ni hakisi hakika anafaa kusaidiwa..
Sio kusuka
Sijui mafuta uombe day one ni kujishushia hadhi.
Kwa umri wangu huu sio mdogo na sio mkubwa nimekutana na visa vingi vya kijinga toka kwa wanawake.Yeah hayo ya kusuka na urembo kweli ni kukosa haya.
Wewe una roho ya tofautiKwa umri wangu huu sio mdogo na sio mkubwa nimekutana na visa vingi vya kijinga toka kwa wanawake.
Ndio maana tunapojadili mahusiano huwa nasisitiza mahusiano na ke aliyepevuka na mwenye akili.
Hata namna anavyoomba hakika utampa tu kwani anashirikisha akili.
Mimi sina tabia ya nipe nikupe.
Ikiwa ninacho nitakupa bila kujali nawe utanipa nini...huwa sinunui uchi🤣🤣🤣
Nina tabia kuwa nikimpa mtu nahesabu nimempa mtoto wa Mungu.
Hivi utakutanaje na mtu siku hiyo hiyo mvuane chupi?Wewe una roho ya tofauti
Na hata ukimpatia kama ukijua ni empty set huwa unapotezea bila kujali ulichotoa maana ulitenda wema na sio exchange....
sa wenzako hawako hivyo. Hawana utu kabisaaa ndo maana kwanza anaomba tunda leo leo na bado hata kama mwenzake amekwama hadi anafikia analala njaa anaona hapaswi kuwajibika kwakuwa ni mapema sana.
Wanaume wa kweli wapo wanaojua nini wanafanya na wajinga pia wapo.
Hata leo wakati natoka sokoni kwenye bajaji nimekutana na kaka mmoja kwa mara ya kwanza na huwez amini aliniuliza tushuke wote twende tukapoe mahali (guest). Na ni mkaka wale senior wanaolekea kwwnye ubaba (45+). Niliona maajabu sana ...nkamjibu huwa sinaga tabia ya ku do na strangers.Hivi utakutanaje na mtu siku hiyo hiyo mvuane chupi?
Hiyo kwangu siipendi.
Labda kama tulishapanga kwa mawasiliano ile mmebishana kwa mbalikwa njia ya mawasiliano na kusudi la kuonana ni kui gia paradiso.
Kuna mtu anakutana na ke mahali na papo hapi anataka wakakulane...hii na dog kuna tofauti ndogo saba
Kwani tume washika? wata endelea kutumika kama kawaida anae honga shauri yakeBasi waacheni wafanye wanavyotaka tu